Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Tuna taaluma nyingi sana hapa nchini hata kama zimeoza lakini nyingine zinasaidia. Mfano mwalimu anaanza na mtoto hajui kusoma na mwisho wake anasoma na kuandika lakini kazi ambzo watanzania wengi hawaziamini na wanajua wapo kwa ajili ya kutimiza wajibu ni mahakama na mahakimu wao na majaji, ni wachache sana wanaokataa kula na kutoa hukumu ya kweli hata mbele ya macho ya Mungu.