Sultani kambe
Member
- Apr 26, 2012
- 63
- 4
Chadema mmezoea kulalamika everyday sijui mna tatizo gani na hao viongozi wenu
Chadema mmezoea kulalamika everyday sijui mna tatizo gani na hao viongozi wenu
Ndugu zangu kwa mwendo wa hizi mahakama zetu nahisi Mpendazoe anaweza chezewa mchezo mchafu kwenye hukumu inayotarajiwa kutolewa tar2 mwezi ujao. Kwa mwenendo wa kesi ile Mahanga hatakuwa na chake kama mahakama itatenda haki kisheria. Je' wewe unahisi kipi chaweza kutokea japokuwa tunasubiri maamuzi ya mahakama?
CDM mna tabia za watoto yatima kila mara mahakamani mnahisi kuonewa TU!!!