Ulishasema ni yake au unataarifa kakodishwa na nani?Waambie hao, mbona hata TP Mazembe ni ya Moise Katumbi?
ww ndo zero kichwani
Kama akili zenyewe ndio hizi kwann timu wasipewe wahindi??
li
Sasa Azam muhindi?Wahindi kwenye biashara ni noma huku Azam kule Manji kule Mo
Wakuu,hebu nisaidieni mfano wa timu moja ya mpira iliyowahi kukodishwa ili tuseme yanga wameitumia kama kiolezo katika kufanya maamuzi yao..
Namshangaa na mimi huyo kiazi. Na by the way, Azam hakuna faida anayoipata pale. Ni kama wanajifurahisha. No plans no future.Sasa Azam muhindi?
Mimi kukodiwa sitakiManji baba tunashukuru, nasi tukodi tu washabiki ututumie miaka 10 . sasa simba ndo wasahau kuifunga yanga. Na yanfa tutapanda sana ndege. Tutapanda mpka ma air hostess watufaham...
Wakupe weweHuu mwendokasi wa awamu hii kiboko, yani team mnaiendesha zaidi ya miaka 50 afu unakuja kumpa mtu ndani ya dk 10 tu yani vuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuup!!!!!!!!!! anyway muda ndo rafiki wa kweli.
Mpira ni biashara kubwa yenye kuhitaji mtaji mkubwa,kwa mfumo wetu klabu inaendeshwa na mwanachama anayelipa sh 12 Elfu kwa mwaka kamwe hatutaenda popotr ndio maana miaka 70 imepita sifa ni kuifunga Simba!ni bora kabisa tujaribu namna nyingine.
Wanachama Yanga wamkabidhi Yusuf Manji aiendeshe Yanga kama klabu binafsi, mikataba ya kumkabidhi nembo kusimamiwa na Baraza la Wadhamini.
Katika mkutano huo unaofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam kipindi hiki, Manji amesema amepeleka ombi la kuikodisha Yanga kwa miaka 10.
“Nitaikodisha kwa asilimia 75 na 25 inabaki kwa wanachama. Nataka kuikodisha timu na nembo, majengo ya klabu yanabaki kuwa mali ya wanachama.
“Katika miaka 10, ikipatikana faida 25 inakwenda kwa wanachama na klabu na 75 kwangu. Kama itakuwa ni hasara basi inakuwa hasara yangu, hakuna hasara upande wa wanachama au klabu,” alisema.
Manji amesema masuala ya timu kuhusu usajili, mishahara, uendeshaji kama safari na gharama nyingine zitakuwa chini yake
Wakati huo huo, Wajumbe watatu wa Kamati Utendaji ya Yanga Ayoub Nyenzi, Hashim Abdallah na Salum Mkemi wavuliwa uanachama wa klabu hiyo.