Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Duhhh,
Sasa tunapo kwenda ndiko kubaya, amakweli nchi yetu imekuwa shamba la bibi,
Mimi ntalalama na USALAMA wa taifa kwani wao wanayajua haya na kama walisha peleka info kwa IKULU na haijafanyiwa kazi,ni mna leak info kama kweli (USALAMA) wako kimaslahi ya nchi ili hao wakubwa wanaozibania waumbuke ndio watajirekebisha, Kama mwapeleka maelezo then hayatatuliwii hamjuu siku kibao kikibadilika ina kula kwao USALAMA wa taifa wote mliokuwa na hizo details?
Sasa tunapo kwenda ndiko kubaya, amakweli nchi yetu imekuwa shamba la bibi,
Mimi ntalalama na USALAMA wa taifa kwani wao wanayajua haya na kama walisha peleka info kwa IKULU na haijafanyiwa kazi,ni mna leak info kama kweli (USALAMA) wako kimaslahi ya nchi ili hao wakubwa wanaozibania waumbuke ndio watajirekebisha, Kama mwapeleka maelezo then hayatatuliwii hamjuu siku kibao kikibadilika ina kula kwao USALAMA wa taifa wote mliokuwa na hizo details?