Hatimaye Tamisemi watoa post za kujiunga na kidato cha tano, Special na shule binafsi zaongoza kwa wanafunzi wake kupangiwa special again

Urban Edmund

JF-Expert Member
Mar 20, 2018
1,968
2,460
Screenshot_20230611-232423.png

hii ni shule ya secondary ya wasichana St Francis wakati wanafunzi wengi wakipangiwa Utwango, Kanga, Mwakavutwa, Lupalilo na Mwimbi mambo ni tofauti kwa shule special wanafunzi wamepangiwa tena special ama kweli kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake

ila swali la kujiuliza wanafunzi wengi wamepangiwa vyuo vya ufundi, ualimu na vingine hasa shule za ufundi ilhali wamepiga vizuri hadi wenye point 8 (walitaka wenyewe) je kwanini Advance kugumu washauri au kupenda dezo ?

nakuwekea link
 
Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki amesema wanafunzi 129,830 wakiwemo wasichana 66,343 na wavulana 63,487 sawa na 69% ya wanafunzi wenye sifa, wamechaguliwa kujiunga na shule za sekondari za kidato cha tano.

Angellah Kairuki ameyasema hayo leo Juni 11, 2023, wakati akizungumza na waandishi, Jijini Dodoma.
 
Back
Top Bottom