gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,413
- 4,589
gwa myetu umenifurahisha nkamu!hv kithungu kilikuja na meli au elopleni?
hahaha chezea I love is my country
gwa myetu umenifurahisha nkamu!hv kithungu kilikuja na meli au elopleni?
Wewe labda ulikuwa hufatilii ligi ya ufaransa, hazard alikuwa moto wa kuotea mbali kabla ya kuja uingerezaWewe km unajua mpira huwezi kulaumu kwa samatta kufunga goal 5 hadi sasa, na kuhusu giroud najua alikotoka alikuwa mfungaji bora, kuhusu hazard amekuja kuwa mkali chelesea kuliko aliko toka lile, na kuhudu Wayne Rooney labda hujui kwamba hakufanya chchte cha ajabu wakati yupo everton, na kilichomfanya anunuliwe na man ni uwezo alionesha kweny match ya Everton vs Arsenal na kufunga goal la umbali mrefu,
Kwahiyo kujifanya unajua mpira alafu unalaumu mchezaji alienunuliwa dirisha dogo kwa kufunga goal 5 ktk match 18 na kati ya hizo alizoanza first 11 hazifiki 10 ni wazi utakuwa unajiwehusha makusudi
ha haaaa..........nasikia kina mbwana samatta watakua kundi moja na man u
Ni Google wamekosea au ni wewe? Wao wanasema ana goli 5 kwenye mechi 9...wewe gemu 20karibu mechi ya 20 leo ana goli 5 tu si afya sana kwa straika hasa kwa ligi za wenzetu
Unalijua balaa la samma goal alipokuwa tout puissante mazembe,mpaka akapewa tuzo ya uchezaji bora kwa wachezaji wa ligi ya ndani Africa....!!!??Unajua balaa la Giraud kabla ya kwenda arsenal?
Unajua balaa la hazard kabla ya kwenda Chelsea?
Unajua balaa la depay kabla ya kwenda man. U?
Unajua balaa la Rooney kabla ya kwenda old Trafford?
Mchezaj anayetafuta kutoka hawez akafunga goli chache hivo a, la sivyo ataishia hapo hapo
Halafu usije ukajiona unajua mpira kuliko wengine, kumbe hamna kitu
Ivii zile goli 3 alizofunga NICOS KARELIS ingekuwa ndiyo SAMATTA kazileta pangekuwaje humu? Yaani Goli moja tu linawafanya mna-comment page nzima..duh hii ni balaa aise!
Wewe labda ulikuwa hufatilii ligi ya ufaransa, hazard alikuwa moto wa kuotea mbali kabla ya kuja uingereza
Acha kupuyanga dogo
Hivi wewe unajua Karelis alikaa mechi ngapi bila kufunga goli kabla ya hizi tatu?
Unaelewa kiswahili mzee au napoteza time? Narudia tena, katika mechi moja walocheza hiyo juzi je! Je! Je! Je ingekuwa ndiyo samatta kaleta zote hizo 3 pangekuwaje humu?