samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Kuna watu hawajui wenzetu wanafuatilia nini kwa mchezaji .... maana haishii kwa kufunga tu lakini pia wanaangalia mchango wako uwanjani,umeisaidia kwa kiasi gani timu yako tangu ulipoanza kuchezeshwa .........wakishaangalia wastani wa muda unaochezeshwa na bidii unazozifanya ndio wanakuwa na majibu ya kwamba huyu hatufai au lah.