MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 2,539
- 6,295
Ni takribani miaka mingi, tangu nijulishwe habari za "Jamii Forum " na rafiki yangu nikiwa chuo japo muda wote huo, sikuwahi kuwa member wala kuwa na App ya jamvi hili. Japo nilikuwa mshiriki bubu kupitia "Google".
Nikaribisheni ndugu zangu, wakubwa shikamooni, wadogo hamjambo na rika langu habari zenu.
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI.
Nikaribisheni ndugu zangu, wakubwa shikamooni, wadogo hamjambo na rika langu habari zenu.
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI.