Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Leo alikuwa huko Mazsons kwenye kikaoMtataro yuko wapi siku hizi jamani ?
Leo alikuwa huko Mazsons kwenye kikaoMtataro yuko wapi siku hizi jamani ?
CCM wana yapi ya kufundisha watu zaidi ya kuspoil watu??hivi wewe unaona suala la ufisadi ndan ya ccm mmelitaftia ufumbuzi?? au ndo unazoziita siasa za kuvumiliana hizo??yana kuvumilia wezi na wahujumu nchi nayo imekuwa ni sifa ya chama chenu??? Kukijenga chama ni kutofukuza wezi/mafisadi na wanaoisaliti nchi??? What are you talking about we kijana!!!Waje kujifunza CCM kuliko na siasa za kuvumiliana zinazoendana na vikao vya amani vitoavyo ruksa ya kukosoana kwa nia ya kukijenga chama na nchi kwa ujumla
CCM hatakiwi, ili mjiimarisha Pemba mkaribisheni
Them crazy, them crazy -We gonna chase those crazyBaldheads out of town;Chase those crazy baldheadsOut of our town.
YAMETIMIA!! Lazima Hamad aelewe Seif ni dikteta amesababisha watu kufukuzwa na wengine kuhama wenyewe kama ordha inavyoonesha hapa chini:
(a) Mhe. James Mapalala
(b) Mhe. Maiko Nyaluba
(c) Mhe. Slivesta Kasulumbai
(d) Mhe. Geoge Shambwe
(e) Mhe. Shaibu Akwilombwe
(f) Mhe. Richard Hiza Tambwe
(g) Mhe. Wilfred Lwakatare
(h) Mhe. Othman Dunga
(i) Mhe. Asha Ngende
(j) Mhe. Khamisi Katuga
(k) Mhe. Ashura Amazi
Kwa upande wa Zanzibar ni pamoja na
a.Naila Jilawi
b.Fatuma Magimbi
c.Juma Othuman
d.Salumu Msabaha
Samahani huyo mwenye red ni yupi? mie namfahamu Mtatiro!!
Lipumba ana taarifa lakini? Au akija 2015 kugombea urais ndo atapewa taarifa?