Hatimaye Hamad Rashid, Shoka Hamis na wenzao wawili wafukuzwa CUF!

Hivi MS ni mwandishi wa habari??
hizo habari unazoleta na kuziandika zina typing error kibao wanaosoma habari zako wana roho ya Paka...

Du wasomi wengine Bana mnachekesha kweli.

Kukomenti kitu nawe hujakifahamu hicho si kichekesho?
Ni imani yangu kuwa MS ana akili zaidi ya wengi humu kwani wanachoandika ni kinyume na wanachodai. Eti crap, eti haeleweki, eti pumba!......... mwisho wa siku mtu anapoteza muda wake kuposti juu na anayosema MS.
Alisema hapo juu nami namkubalia ........ tatizo ni mregu alioko basi!
 
Hivi MS ni mwandishi wa habari??
hizo habari unazoleta na kuziandika zina typing error kibao wanaosoma habari zako wana roho ya Paka...

Hata mie nimeshangaa kusoma kuwa Malaria Sugu ni mwandishi wa habari! Duh! Kama ni kweli iko kazi. Natamani kufahamu ni chombo gani cha habari anakiwakilisha.
 
"MS alikuwepo Zanzibar. kama Mwandishi wa habari, akishuhudia Hamad Rashid akifurushwa"
Jana Jioni nilikuwa Jos kona Ngome kuu ya Cuf iliopo Soko Muhogo Baada Ali Salehe kuripoti kupitia BBC, washabiki wa CUF
walipiga mayoe kwa furaha, yaani ukiwahoji ni wazi wamemchoka Hamad Rashid.
Saa 1:00 jioni. Mtaa wa Mtendeni, makao makuu ya CUF. cuf haikuzaliwa Arusha. moshi, Tabora. Imezaliwa Malindi na kama kufa itafia malindi, hamad Rashid ziiiiiiiiiii

Saa 2:30 usiku nilipofika maskani ya CUF Jangombe gengeni, mazungumzo Hamad Rashid kesha, akachume karafuu Pemba. hali ni shwari.
Saa 3:00 Usiku. Ngome nyengine ya CUF Jangombe kwa maharuki anapotoka mmoja wa vijana waliofukuzwa yaani Saanani. maneno ni hayo hayo. Aende tu Chadema. acheze na Ndevu za Seif asicheze na akili ya Seif(Maalim seif)
Leo saa2:00 asubuhi. daraja bovu,Ofisi ndogo ya CUF . Hamad rashidi ni m-mboya tu, akatafute Ubunge Moshi. hapa nooo.

Magomeni ngome ya CUF:matangazo yao" Hamad rashid kavuna alichopanda. aanzishe chama Chake, yeye na familia yake"

Vituo vya Magazeti.
Yakheeeeee, kakie hamad umemsikia? eti anataka kuwa mbunge wa Mahakama. kanchoka tena.

Hii mtu inaumwa Malaria sugu kwisha tafunwa na Mbu ya muhimbili..Tafuta kitu ingine uweke kwa JF..Wewe kwa hii JF iko dhania Medical Check up very important
 
Siamini. Mbona Zitto hajaiweka kwenye status zake za Online Offices (wall zake FB na Twitter)? Au huko hana Maslahi, HR siyo mnyonge anayeonewa na ukosefu wa demokrasia ndani ya chama?

Sasa naweza kuamini.....................

Zitto Kabwe
Ndugu Jussa, Kama rafiki yako mkubwa na unajua ninavyomheshimu Maalim Seif Kama kiongozi thabiti. Leo nakwambia usilolipenda. Sio sahihi katika demokrasia Kama yetu kumfukuza Mbunge Hamad Rashid au hata wanachama wengine wa chama chenu cha CUF. Kama Maalim aliweza kumsamehe Salmin, aliweza kumsamehe Karume, aliweza kukubali kutangazwa kushindwa ilhali hata wewe unajua alishinda Urais wa Zanzibar iweje iwe muhali kumaliza tatizo hili dogo la Hamad Rashid?

Hamad ana makosa lukuki. Nimefanya naye kazi Bungeni. Hamad pia ana mazuri mengi kafanya. Hamad amejitoa muhanga. Uamuzi wa Baraza Kuu la CUF kumfukuza uanachama ufikiriwe upya.

That is my appeal to you as a friend and a fine politician.
 
He is not displined politician, he wants everything for himself he will not share with other politicians; remember when he was a leader of opposition he was the only one who is they only one who used to travel with the delegates overseas he never choose another opposition member to go on his behalf.

So the person like him does will not fair good in CHADEMA he will cause havoc and toxic
 
Wewe uliyeleta hii thread nadhani ulihitaji kumwomba mungu upeo wa kuona mbali kabla hujaposti chochote humu, mkuu naomba tena ukajipange upya bado una nafasi nyingine tena
 
HR anasema watu zaidi ya 250 wamerudisha huko Tanga na watu Wawi wanasema jimbo lipo mikononi mwake atakako kwenda nao wako nyuma yake Yeye si malaya wa kuhamahama vya anafanya utaratibu wa kuanzisha chama kingine cha siasa

source DW
 
Nadhani chadema ikimruhusu ajiunge hili swala la kusingiziwa udini na ukanda itakuwa imepungua
 
hivi katika chama kuna kuchagua nana ajiunge na nani asijiunge ,chadema si ina katiba kama mtu kakidhi matakwa ya katiba si basi anajiunga. huu ubaguzi utkuja kuwarudia
 
Hivi MS ni mwandishi wa habari??
hizo habari unazoleta na kuziandika zina typing error kibao wanaosoma habari zako wana roho ya Paka...
Hata mie nimeshangaa kumbe mwandishi?basi huyo mhariri wake lazima ana file pale Mirembe
 
Back
Top Bottom