Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Anti Ezekiel amefunga ndoa Kimya Kimya siku moja baada ya kuomba msamaha kwa kuvaa nguo iliyoonyesha kufuli lake.
Hapa ni baada ya kufunga ndoa tayari.
Hapa akisaini cheti cha ndoa baada ya kumaliza shughuli.
Hapa akionyesha gauni lake
Hapa akiwa na shoga zake.
Bado Wema Sepetu na Jack Wolper zamu yao kuolewa yaja
Hapa ni baada ya kufunga ndoa tayari.
Hapa akisaini cheti cha ndoa baada ya kumaliza shughuli.
Hapa akionyesha gauni lake
Hapa akiwa na shoga zake.
Bado Wema Sepetu na Jack Wolper zamu yao kuolewa yaja