Naitwa Nani
Member
- Dec 18, 2011
- 29
- 2
Hongereni Walimu!!
Poua njoon tuendeleze harakati,afisa elimu wetu anaitwa Said juma Mmaraba,kwa wale wa kigoma vijijn sehemu mzur kwa graduate ni NYARUBANDA HIGH SCHOOL TU,staff tupo vijana tu,ila madem hakuna staff, kama wapo basi wajitahidi waje,staff yetu haina majungu,tupo wabishi,angalizo husikubali kupangiwa Mwandiga,Bitale,Nguruka,Rugufu,njoo NYARUBANDA
We utakua jembe,njoo nyarubanda
Poua jembe we Ni PM
Unaona sasa tatizo la kutotumia majina yetu halisi katika JF, kumbe tuko kituo kimoja halafu hatufahamiani, nami niko Nyarubanda High School, nafundisha masomo ya...........Basi Jumapili twende sokoni Manyovu tutaongea zaidi, si unajua sasa hivi lami Kigoma - Manyovu?
Ntakomaa nije hapo mkuu ili twende sawa,vp wanatoa accomodation?
Nyumba zimebaki tatu,kila nyumba inavyumba vitatu,sema huku baridi sana njoo na blanket,sweta kabisa
Wishin al za best, waalimu wote mnaoanza kazi na maisha ya kujitegemea. Maisha kokote, wengine 2mejeruiwa na serikali ya JK
Mimi ni mwalimu tangu 95. Niko mkoa wa Kigoma. Nimejenga Bungaloo n I have everything I need including dstv.
Ninachomaanisha ni kuwa, ninawaomba walimu wenzangu tuondokane na kasumba ya kudharau mahali pa kuishi, ila iwe n changamoto ya ku-improve maisha yetu kwa kuyakabili mazingira. Why should we have cowardice inclination towards our life? Determind your life and God will approve it. Karibuni Kigoma, nchi ya maziwa na asali.!
Mimi ni mwalimu tangu 95. Niko mkoa wa Kigoma. Nimejenga Bungaloo n I have everything I need including dstv.
Ninachomaanisha ni kuwa, ninawaomba walimu wenzangu tuondokane na kasumba ya kudharau mahali pa kuishi, ila iwe n changamoto ya ku-improve maisha yetu kwa kuyakabili mazingira. Why should we have cowardice inclination towards our life? Determind your life and God will approve it. Karibuni Kigoma, nchi ya maziwa na asali.!