Oya washikaji kila la kheri huko vijijini. Ila msisahau mtakuwa wasimamizi kula 2015, kuweni makini, tunahitaji serikali makini ya vijana makini. Akili kichwani!.
Wakuu, afadhari nyie mliopata ajira maana mtatukumboa hata wenzenu tusiopata kwa kuwakaba usiku au vp wakuu? teh teh teh!
Isee Tumaini, Makumira tumeachwa wengi pending, kulikon??
Oya washikaji kila la kheri huko vijijini. Ila msisahau mtakuwa wasimamizi kula 2015, kuweni makini, tunahitaji serikali makini ya vijana makini. Akili kichwani!.
bado wizara ya mifugo na uvuvi, cjui lini,
kumbe 2na walimu wengi humu?
huna lolote unatafuta demu tu wewe
hivi inakuwaje kwa mwalimu
aliyeomba akiwa na Degree na
akapigwa chini?kuna vigezo gani
vya watu kupangiwa zaidi ya
kuwa na cheti kizuri!kuna mtu wangu hajaona jina lake
Wakuu, afadhari nyie mliopata ajira maana mtatukumboa hata wenzenu tusiopata kwa kuwakaba usiku au vp wakuu? teh teh teh!
Hahahahahahaha wakuu hapa mmeniacha hoi kumbe mpo kituo kimoja hata kushitukiana? Kweli Jf watu wasiri kweli na ID zetu nikifika wakuu ntawajuza tuonane huko niko na washikaji zangu graduate kama 4 hivi tumepangiwa huko wote
Usikonde mkuu moja ya somo langu kwa ntakaowafundisha Advance ni GS kwa hyo lazima nicreate viajana wangu wa kutosha sana hadi 2015,marupurupu mwiko maana sio Ethics zetu
Kumbe walimu tuko wengi ktk forum hii. Ila walikotupanga huko, twende na modem, wasiwasi na zenyewe zitakuwa hazishiki net. Tutawamic ktk jamii forum, naliaaaaaaaaaaaaa. Simu itasaidia ila umeme hakuna.:a s 465:
Unaona sasa tatizo la kutotumia majina yetu halisi katika JF, kumbe tuko kituo kimoja halafu hatufahamiani, nami niko Nyarubanda High School, nafundisha masomo ya...........Basi Jumapili twende sokoni Manyovu tutaongea zaidi, si unajua sasa hivi lami Kigoma - Manyovu?
Mkuu ntakuinbox baadae ili uwe mwenyeji wetu maana utakua msaada kweli kwa kuanzia mkuu,thanks
bado wizara ya mifugo na uvuvi, cjui lini,