Hatimaye afande Kova ajibu shutuma juu yake

Sasa Mahakama ni Chaka la kuchimbwa dawa na Wahalifu wote Tanzania.
Mahakama sasa inatumika kufunga midomo Watanzania wasihoji upuuzi wa serikali,
Mahakama ni pazia la chuma la viongozi wa CCM na serikali yake kujikinga kisiasa.
Wanavuruga,wanadanganya, wanaiba,wanaharibu na kuvunjavunja
kisha wanatimua mbio kujificha nyuma ya mahakama.

Kuna haja ya kujenga hoja ya kuchunguza kwa ukaribu Chaka hili la Mahakama.

Kama kazi ya Ukamishna wa POLISI ndo hii falla na mjinga yeyote anaweza kuwa njagu.
 
Hivi kwanini lakini serikali haitaki kuwaruhusu Chadema waunde tume huru ya uchunguzi wa hii issue?
mawazo mengine bwana, kila kona siasa kwani usitaje makundi mengine yaruhusiwe kuchu
nguza? wasanii, wanamichezo, taasisi za dini etc. kaka tusijiachie kuona cdm ndo kila kitu, nchi zetu za afrika viongozi bado ni matatizo kwa jamii, sio wapinzani wala watawala.
 
badao wanatafuta mtu wa kumngóa meno na kucha ili kumshurutisha akiri CHADEMA inahusika, namna serikali ya CCM inavyojiendea endea haishangazi inavyowalaumu CHADEMA kwa kila jambo, Kova naye aseme CHADEMA wamemtisha ndio maana akasema Mkenya kaenda kutubu kwa Gwajima. AIBUUUUUUUUUUU sana hii Kamanda Kova, hivyo badala ya kutumikia nchi kwa kadri ya kiapo chako cha utumishi unatumikia bwana zako..lol
 
Kawaida yao ya kumpeleka mtuhumiwa mahakamami ushahidi haujakamilika, vp kama hamna ushahidi Mahakamani mnampeleka kufanya nini?
 
hahhahahah Cheza Kova wewe aka macho kumchuzi!Mahakama imekuwa chimbo lenu kujificha!Shame on u!
 
Siyo kwamba hawajui kudanganya,hawaoni umuhimu wa kutumia sophisticated means kwasababu wanawadharau sana wananchi.Wanaona hakuna haja ya kutumia hizo efforts na wanauhakika litapita tu kwasbabu watanzania wengi wanasubiri hadi siku ya kiama ndo wauwaji waadhibiwe na mungu.

True that.
 
Mmh! Huyo jaji atakayepangiwa hii kesi mbona balaa. Mashaidi watatoka wapi sasa au ndio watakuwa wakupika. Je Ulimboka na Deo wataitwa kwenye gwaride la utambuzi? Kama Gwajima & Co statement zao ni tofauti kabisa na za Kova hii kesi itaendeshwa vipi? Tayari hii imesha (create reasonable doubt). Kwakweli ata akipangiwa Jaji wa vodafasta ajiangalie sana; maana hasira za watu asije-akamaliziwa yeye. Huu mvutano ni hatari hii!
 
shughuli bado nzito..lakini kova alishasema tangu mwanzo kua hata akikutwa hana hatia ya mauaji bado atakua na criminal case ya kulidanganya jeshi la polisi..hii CD bado ina load cjui kama itasoma.
 
Kova laana ya uongo itammaliza, kama jambo liko mahakamani mbona anajisafisha?

Aibu imekuwa kubwa hadi anakimbilia mahakama ameshindwa kujibu mapigo.

Kweli ngwajima bado ana nguo za kova maana na muona kova anazunguka bila nguo!
 
KWA MTAJI WA KONA KONA KIBAO ZA KWENYE HII FILAMU YA DK ULIMBOKA JE WAWEZA KUTABIRI NINI KITAKACHOFUATIA KATIKA MSURURU MZIMA WA MATUKIO YA KUKINZANA KILA KUKICHA??

Enyi wana-JF wenzangu,

Onyesho la kwanza laa sakata la kumtoa Dk Ulimboka roho inasadikiwa kuazia pale Leaders Club na kuishia Mabwepande Tegeta.

Wahusika walioonekana tu mwishoni mwa picha katika onyesho hilo ni pamoja na Mama Bishimba, Mwanakijiji, Mdhurika Dk Ulimboka paamoja na wanakijiji maahali pale.Onyesho la pili likawa ni timu ya Ahmed Msangi, Afande Kova, Nabii Mkuu naa Mtume Askofu Gwajima pamoja na 'Joshua' Muyungi.

Onyesho la tatu ya filamu hii ni pale mahakamani Kisutu ambapo kunadaiwa wahudhuriaji karibu wote walikua ni watu wa KUFIKIRIKA tu.

Baada ya kona hizi zote na mzaha uliopita kiwango, je ni nani kati yetu hapa anayeweza kututabiria ONYESHO LA NNE litakavyokua katika filamu hii mara baada ya kutathmini onyesho zilizotangulia, je?

1. Kuna uwezekano filamu ikaishia hapa hapa?

2. Kuna uwezekano filamu ikaanza upya?

3. Yawezekana Staringi Dr Ulimboka akaibuka upya na kuipa nguvu zaidi picha hii?

4. Kuna uwezekano steringi Dr Ulimboka akanunuliwa kwa kupewa KIFUTA DAMU (Mganga Mkuu wa Serikali Wizarani) na picha zima kupata taswira mpya?

5. Yawezekana, kwa mara ya kwanza katika historia ya ulimwengu wa filamu duniani, huyu Steringi Dr Ulimboka wakamkolimba huko huko ili kinachodaiwa mezani hivi sasa ndicho kibakie ukweli na ukweli mtupu wa mambo (Afande Kova et al 2012)?

Katika onyesho la nne, watatafutwa watu wengine ambao watabebeshwa huu mzigo wa nani mhusika, maana ili picha iishe salama lazima watafute mtu watakayemtwisha mzigo walioubeba maana unawaelemea nisawa na kubeba gunia la mavi usipolemewa litakunukia, Inavyoonekana mkuu wa kaya amewapa muda wafanye haraka kumsafisha

Sasa Mahakama ni Chaka la kuchimbwa dawa na Wahalifu wote Tanzania.
Mahakama sasa inatumika kufunga midomo Watanzania wasihoji upuuzi wa serikali,
Mahakama ni pazia la chuma la viongozi wa CCM na serikali yake kujikinga kisiasa.
Wanavuruga,wanadanganya, wanaiba,wanaharibu na kuvunjavunja
kisha wanatimua mbio kujificha nyuma ya mahakama.

Kuna haja ya kujenga hoja ya kuchunguza kwa ukaribu Chaka hili la Mahakama.

Kama kazi ya Ukamishna wa POLISI ndo hii falla na mjinga yeyote anaweza kuwa njagu.
 
Hawa watu hawajui hata kudanganya.

Hivi hizi mainstream media haziirushi TZ? BBC wa na lile pindi linaitwa AFRICAN PANORAMA. Nawaomba walirushe hili picha la KOVA pengine dunia ikiona KINYAA HIKI huenda serikali ikazinduka!....Maana bado imelala mno kwakweli!!!
 
Kawaida yao ya kumpeleka mtuhumiwa mahakamami ushahidi haujakamilika, vp kama hamna ushahidi Mahakamani mnampeleka kufanya nini?

Msaada wajameni, ni sheria gani au kifungu gani cha katiba kinachokataza watu wasiongelee kuhusu suala lililopo mahakamani. Nimemsikia kova akisema kuwa kwa sasa ni marufuku kwa mtu yoyote kujadili kesi ya mtu anayetuhumiwa kumtesa Dr. Ulimboka kwa sababu sheria na sheria mama ( kwa maana ya katiba) vinasema hivyo.
 
Hili suala la kukamata mtu yeyote na kumfikisha mahakamni kisha;

Kulitumia bungeni kuzuia mijadala,
kulitumia mezani pako ofisini kuzuia mswali muhimu kutoka kwa jamii,
kulitumia kwenye majukwaa ya siasa,
Kulitumia ili kupoteza muda watu wasahau,
kulitumia ili kuchelewesha haki.

Ni lazima livaliwe njuga kwa makusudi
na kuwabana viongozi wa serikali na wabunge mpaka walegee na kushindwa kabisa.

Serikali inachezea sheria na haki zetu na hili ni jambo lisilokubalika na lenye gharama kubwa isiyobebeka.

hahhahahah Cheza Kova wewe aka macho kumchuzi!Mahakama imekuwa chimbo lenu kujificha!Shame on u!
 
Serikali inatengeneza kaburi lake lenyewe,watatuzuia kwa fitna kulijadili suala hili kwa hila zao za kichaka cha mahakama,watafanikisha...ila trust me kumziba mtu mdomo ni kumuongezea chuki,heri mtu asemeee anyamazee...serikali haiaminiki,polisi hawaaminiki,mahakama hazina mvuto kwa wanyonge,viongozi hawana touch ya wananchi,hawapendwi.

kinacho tokea Ngado-singida ni kielelezo cha chuki ambayo ipo juu ya serikali na watu wanao i support serikali hiyo,chuki hii watawala wanaijenga kwa wananchi,chuki hii inaanza kukua,itahamia kwa akina Nappe,mwigulu,wasira et el..ipo siku watapigwa kama wezi na wananchi...!

Ukiwashitaki polisi wataachiwa,ukiwapeleka mahakamani watashinda....lakini nikirusha jiwe,panga,au mkoki siwezi kuwakosa....They will feel the pinch that i always feel,the pains caused by them to me shall be paid as permanent torture to them..
make my word

These words come out of the mouth of an angry man! Watch out you magamba people.
 
Back
Top Bottom