Msalagambwe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 713
- 263
Sasa Mahakama ni Chaka la kuchimbwa dawa na Wahalifu wote Tanzania.
Mahakama sasa inatumika kufunga midomo Watanzania wasihoji upuuzi wa serikali,
Mahakama ni pazia la chuma la viongozi wa CCM na serikali yake kujikinga kisiasa.
Wanavuruga,wanadanganya, wanaiba,wanaharibu na kuvunjavunja
kisha wanatimua mbio kujificha nyuma ya mahakama.
Kuna haja ya kujenga hoja ya kuchunguza kwa ukaribu Chaka hili la Mahakama.
Kama kazi ya Ukamishna wa POLISI ndo hii falla na mjinga yeyote anaweza kuwa njagu.
Mahakama sasa inatumika kufunga midomo Watanzania wasihoji upuuzi wa serikali,
Mahakama ni pazia la chuma la viongozi wa CCM na serikali yake kujikinga kisiasa.
Wanavuruga,wanadanganya, wanaiba,wanaharibu na kuvunjavunja
kisha wanatimua mbio kujificha nyuma ya mahakama.
Kuna haja ya kujenga hoja ya kuchunguza kwa ukaribu Chaka hili la Mahakama.
Kama kazi ya Ukamishna wa POLISI ndo hii falla na mjinga yeyote anaweza kuwa njagu.