muhimili huu wa mahakama ambao haujawahi kukanusha uhusika wake ktk kupokea Rushwa kwa kiwango cha kutisha sasa umeingiliwa na ccm kama kimbilio muhimu ktk harakati zake za kijinga na za kitoto kuokoa jahazi linalozama kwa kasi ya ajabu, Lakini juhudi hizi za ccm zimepoteza matumaini kabisa,