Hatimae kimbunga JOBO chaisha nguvu kabisa

The good news ni kwamba kimbunga JOBO kimeisha nguvu kabisa.Picha ya kwanza ni ya jana Ijumaa saa nne asubuhi kama unavyoona kwenye picha za satellite hapo kimbunga kilikuwa na nguvu sana na picha ya pili ni ya leo Jumamosi saa tisa ya usiku na kama unavyoona kimbunga kilipungua nguvu kidogo.

Picha ya tatu ni ya leo Jumamosi saa nne asubuhi ambapo kimbunga kilipungua nguvu sana.Picha ya nne ni ya leo Jumamosi saa kumi na moja jioni hii ambapo unaweza kuona kuwa kimbunga kimeisha nguvu kabisa.

Katika hizo picha unaweza kuona pia siku na muda.

1
View attachment 1762579
2
2752060_021042033234.jpg

3
View attachment 1762586
4
View attachment 1762591
Mungu kafanya yake tena🙏! Asante Mungu wetu Mwema 🙏!
 
Back
Top Bottom