figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Kile kinacho onekena kukubarika kwa jf, hatimae media mbalimbali za ndani na nje ya nchi zimekuwa zikitegemea na kutumia habari za mtandao namba moja wa kijamii tanzania jamii forums.
Leo katika kipindi cha hot mix kinachorushwa hewani na eatv wameweza kuzungumzia na kuonyesha ile habari iliyopo jamii photo ya mwanamke na mwanamme wakiwa wanacheza muziki muda wote bila kupumzika wala kubadilisha style.
Hii nmeipenda sana. Hongera sana mwanadada faizaaa. Mia
Leo katika kipindi cha hot mix kinachorushwa hewani na eatv wameweza kuzungumzia na kuonyesha ile habari iliyopo jamii photo ya mwanamke na mwanamme wakiwa wanacheza muziki muda wote bila kupumzika wala kubadilisha style.
Hii nmeipenda sana. Hongera sana mwanadada faizaaa. Mia