Neiwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 728
- 633
Leo jioni hii kuna kipindi kimerushwa 'Live' EATV kikiendeshwa na Adrian pamoja na Fatma. Kipindo hicho cha dakika 120 uhusisha segment mbali mbali kama habari iliopo moto moto, habari za uchumi, michezo, urembo n.k. Katika moja ya kipengele ambacho wameanza nacho ni kutambua kifo cha Marehemu David Mwangosi ambapo wametoa wasifu wa marehemu kwa ufupi ikihusiana na kazi, familia na maziko yatayofanyika Tukuyu Mbeya.
Katika section ya web review ndani ya kipindi cha EATV Hot Mix, wamemkaribisha moja wa Jamii Forums Founder Maxence Melo ambae yupo kujieleza sasa na kujibu maswali ya watangazaji.
Hongera kwa Maxence Melo na wana Jamii Forums, keep on keeping on.
Katika section ya web review ndani ya kipindi cha EATV Hot Mix, wamemkaribisha moja wa Jamii Forums Founder Maxence Melo ambae yupo kujieleza sasa na kujibu maswali ya watangazaji.
Hongera kwa Maxence Melo na wana Jamii Forums, keep on keeping on.