figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Kile kinacho onekena kukubarika kwa JF, hatimae media mbalimbali za ndani na nje ya nchi zimekuwa zikitegemea na kutumia habari za mtandao namba moja wa kijamii tanzania JamiiForums.
Leo katika kipindi cha hot mix kinachorushwa hewani na EATV wameweza kuzungumzia na kuonyesha ile habari iliyopo Jamii Photos ya mwanamke na mwanamme wakiwa wanacheza muziki muda wote bila kupumzika wala kubadilisha style.
Hii nimeipenda sana. Hongera sana mwanadada Faizaa na Edwin Hilal.
Mia
Leo katika kipindi cha hot mix kinachorushwa hewani na EATV wameweza kuzungumzia na kuonyesha ile habari iliyopo Jamii Photos ya mwanamke na mwanamme wakiwa wanacheza muziki muda wote bila kupumzika wala kubadilisha style.
Hii nimeipenda sana. Hongera sana mwanadada Faizaa na Edwin Hilal.
Mia