Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,595
- 5,486
maneno mazuri na yenye hekima na busara ndani yakeTafuta mwanamke unayempenda, nenda kwao, zaeni watoto ishini.
Acha zinaa.
maneno mazuri na yenye hekima na busara ndani yakeTafuta mwanamke unayempenda, nenda kwao, zaeni watoto ishini.
Acha zinaa.
ndo walisemaga ivo tukawazikaga faster!Theory tu.....na kukariri kwng....Acha visingizio ndugu.
Upo sahihi mkuu.Huko USA ,ndoa uangaliwa kwa Makin na serikali kwa kuwa ndoa utoa watoto watakaokuwa viongoz wa serikali.Sijui elimu yako lakini kama ungekuwa umesoma ungeelewa suala la Ndoa sio ishu personal, ni ishu Socially, economically na political.
Kesho kutwa kwenye Sensa utaona kipengele cha Ndoa,
Ukiomba kazi lazima kwenye CV uweke Hali yako ya ndoa.
Ndoa ndio inaleta Family sijui Kama unajua hilo labda kama mwenzetu wewe ni Mnyama.
Unasema ndoa ni ishu ya Personal wakati serikali ndio inatoa vyeti vya ndoa😀😀
Faizafoxy anakuambia, huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
Kuoa ni option ya mtu. Sio kitu cha lazima. Haupungui chochote usipooa. Mjomba acha akili za kijijini huko mashambani. Kuoa ni personal sio societal.
Hapo sawa ila kama unakipato sio sawa.Hapo nimemjibu huyo ndgu kua kama huna maisha mpaka umri huo ni kheri usilete kiumbe.
Sababu iko wazi ni kua huna kitu, utamtesa mtoto tu.
Wenyewe wanasema "msanga ngongele"Wakuoa nitakuwa Mimi Kaka
Acha nizeeke zeeke kwanza ndiyo mniulize naoa lini.
Hapo wenyewe wanasema "kasi ya kiongozi wa wahuni ndio kasi ya wahuni wenyewe"Nina miaka 32 nina watoto watatu. Wakwanza miaka tisa na wa mwisho miaka miwili. Lakini sina ndoa, unasemaje hapo?
Ndicho nilichomaanisha ndgu.
Yote uliyoandika, hakuna la ukweli hata moja.Halafu ke akigongwa huko nje anakuja zalia kwako idadi ya kutosha tu!unajichekesha km zuzu! matunzo yote ya ulezi unatoa wewe!! hayo hayo!! Matoto kumbuka si yako, pale yakikua sasa ...
ikitokea siku unamkoromea Mama yao ki vyoyvyote vile hakuna rangi utaacha kuiona yatakutia vitasa barabara si vya Dunia hii!! na laana hawapati!!...hapo sasa
.utageuka kuwa mwalimu mzuri wa somo la kuto oa mapema!! ...ajili ya kupigiwa Nyapu hadharani!....na ukizidisha gubu la kumsema sana siku ukilewa ana kuua faster!...tena kwa sumu ya panya tu si anakupikia yeye???
Km mtoto si damu yako anakupiga tu bila mshtuko! kwa sababu ulishindwa kuishi na Mama yake kwa akili!! wkt mlishaambiwa mapema mfanye ivo!
Labda mleta mada angesema hivi Omba Mungu akupe mke mwema!!
Sawa.Huo ni mtazamo wako
Ana akili za kishamba Sana huyu motivation speaker wannabeKuoa ni option ya mtu. Sio kitu cha lazima. Haupungui chochote usipooa. Mjomba acha akili za kijijini huko mashambani. Kuoa ni personal sio societal.
Tatizo mifuko pesa hamnaTafuta mwanamke unayempenda, nenda kwao, zaeni watoto ishini.
Acha zinaa.
Na ni irresponsibility kubwa Sana kuzaa mtoto ambaye hujamhakikishia future yake kuwa Bora , ni ujinga Sana watu kuzaa kama bata , we have been given a sense of logic Ila watu hawatumii logic wao ni kuishi kama wanyama TuNdo ukweli ndgu yangu!!
Misimamo inaweza kukuvusha au kukutumbukiza shimoni.
Hivyo kua makini na hiyo misimamo.
Kabisa yaani , ni tambia mbovu za KiAfrica kuzaa kama bata too bad bila prior well organised plan ya kuhakikisha maisha Bora Kwa huyo mtoto . Ndio maana wanatuzalia mapanya road , a lost generation of degenerate paupers .Tatizo wabongo wanakimbilia kuzaa ili watoto waje wawatunze
Yaani mtoto anapewa mzigo wa kuja kulea mzazi ambae hakujipanga,hakua na plan.
Ndio maana Afrika umasikini hautaisha
Watu weupe huu ujinga hawana