jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Poleni na majukumu ya hapa na pale
Na binti nilie mwelewa katika hizi harakati za kutafuta mke, nilimtongoza na wakati wa kuagana nakumbuka alinijibu hivi.
"Wewe unajiamini sana na unazunguka sana mitego ni kikuuliza maswali yangu basi jitahidi"
Siku zikaendelea kwenda nikaona hatoijibu la kueweka nikaona acha nitafute spare za kutosha cz natafuta mke wa kuoa atakaekaa mkao wa kua mke basi itakua bahati yake.
*Niliendelea kuwasiliana nae hapa na pale ila nikikumbushia jibu langu anasema kwa sasa hayupo teyari kuingia kwenye mahusiano au kuolewa, wakati mwingine anasema anataka tuwe marafiki tuu , jambo ambalo mimi nimelikataa kabisa na kumwambia mimi sitaki uwe rafiki yangu mimi nataka uwe mke wangu ...
Alikataa na akasema labda tuwe marafiki nikajisemea moyoni huyu binti asinichanganye acha nimpotezee nicheck na spare zingine yeye nitakua simtafuti labda anianze yeye...
Cha kushangaza baada ya kumpotezea muda mrefu alinitafuta na kuniambia kanimiss na wala sikujibu text yake nikajisemea tena moyoni may be ana mastress anataka kunitumia kama njia ya kumliwaza..
Siku zikapita nipo kimnya sana yeye naye kimya ila uvumilivu ukamshinda akanitafuta tena na kunilalamikia why nipo kimya au kunatatizo
Hapa nilimjibu
""Mimi niko pouwa tuu""
Na tukachati chati baada ya hapo nikamwambia bye, siku mkumbushia kama na mpenda ila nikampotezea tuu huku nikijisemea mwache labda animiss zaidi may be atakubali ombi langu maana ndie mwanamke naeona atanifaa kua mke ninae mtaka..
Wakuu huyu binti bado sijamuelewa na hii ni kutokana na;_
1: Nikikaa kimnya bila kumtafuta ananilaumu sana ,
2: Nikitaka nipajue kwao hataki anasema kumjua yeye inatosha,
3: Nikitaka tuonane hataki na nikikutana nae anapita mbali kwa kunikwepa nisimsimamishe na mimi na vunga tuu najifanya nipo zangu na mambo yangu, ila baadae ananitafuta ananiambia aliniona ila nikampotezea yani anakua kama sitaki na taka
4: Nikimwambia aje geto tuzungumze zaidi hataki , na nikimwambia tutoke tukakae sehemu tupigepige story hataki pia..
.wazee wangu, Baba zangu, mama zangu, Kaka zangu, dada zangu ,ndugu na marafiki semeni neno wakuu maana nataka nimkatie tamaa ni mwaka sasa na mfukuzia huyu binti maana anakila sifa yakua mke wangu sema tuu ndio hivyo, hizi spare zingine nikiangalia angalia bado ni za moto sana
Na binti nilie mwelewa katika hizi harakati za kutafuta mke, nilimtongoza na wakati wa kuagana nakumbuka alinijibu hivi.
"Wewe unajiamini sana na unazunguka sana mitego ni kikuuliza maswali yangu basi jitahidi"
Siku zikaendelea kwenda nikaona hatoijibu la kueweka nikaona acha nitafute spare za kutosha cz natafuta mke wa kuoa atakaekaa mkao wa kua mke basi itakua bahati yake.
*Niliendelea kuwasiliana nae hapa na pale ila nikikumbushia jibu langu anasema kwa sasa hayupo teyari kuingia kwenye mahusiano au kuolewa, wakati mwingine anasema anataka tuwe marafiki tuu , jambo ambalo mimi nimelikataa kabisa na kumwambia mimi sitaki uwe rafiki yangu mimi nataka uwe mke wangu ...
Alikataa na akasema labda tuwe marafiki nikajisemea moyoni huyu binti asinichanganye acha nimpotezee nicheck na spare zingine yeye nitakua simtafuti labda anianze yeye...
Cha kushangaza baada ya kumpotezea muda mrefu alinitafuta na kuniambia kanimiss na wala sikujibu text yake nikajisemea tena moyoni may be ana mastress anataka kunitumia kama njia ya kumliwaza..
Siku zikapita nipo kimnya sana yeye naye kimya ila uvumilivu ukamshinda akanitafuta tena na kunilalamikia why nipo kimya au kunatatizo
Hapa nilimjibu
""Mimi niko pouwa tuu""
Na tukachati chati baada ya hapo nikamwambia bye, siku mkumbushia kama na mpenda ila nikampotezea tuu huku nikijisemea mwache labda animiss zaidi may be atakubali ombi langu maana ndie mwanamke naeona atanifaa kua mke ninae mtaka..
Wakuu huyu binti bado sijamuelewa na hii ni kutokana na;_
1: Nikikaa kimnya bila kumtafuta ananilaumu sana ,
2: Nikitaka nipajue kwao hataki anasema kumjua yeye inatosha,
3: Nikitaka tuonane hataki na nikikutana nae anapita mbali kwa kunikwepa nisimsimamishe na mimi na vunga tuu najifanya nipo zangu na mambo yangu, ila baadae ananitafuta ananiambia aliniona ila nikampotezea yani anakua kama sitaki na taka
4: Nikimwambia aje geto tuzungumze zaidi hataki , na nikimwambia tutoke tukakae sehemu tupigepige story hataki pia..
.wazee wangu, Baba zangu, mama zangu, Kaka zangu, dada zangu ,ndugu na marafiki semeni neno wakuu maana nataka nimkatie tamaa ni mwaka sasa na mfukuzia huyu binti maana anakila sifa yakua mke wangu sema tuu ndio hivyo, hizi spare zingine nikiangalia angalia bado ni za moto sana