BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Bali ni mapenzi ya pande mbili zinazohusika na kila mmoja kumkubali mwenzie kwamba anastahili kuwa mume/mke.
Ht mi ningetaa ,ndoa sio ofa!
Ht mi ningetaa ,ndoa sio ofa!
Siamini kama wanaume wa siku hizi ni mabox kiasi hiki!!!!Habari wakuu,
Ni hivi nina msichana wangu wa kitambo kidogo na mimi ndio nilimtoaga usichana sasa alihama mitaa yetu kuna mahali anaishi.
Sasa kipindi hiki nimempa ofa ya ndoa amegoma kuishi na mimi na nadhani hata tabia zake ni za ajabu kwani avai nguo za stara mimi nilitaka nimbadilishe but anaonesha kureact.
Msaada wakuu nifanyaje na mimi nahitaji kuoa.
Da nyenyere usiseme ivo mkuuSiamini kama wanaume wa siku hizi ni mabox kiasi hiki!!!!