Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
- Thread starter
- #61
sawa!Pape na wewe mbona hii avater haifanani ya katavi, hii inakonyeza ya katavi hiko tu nzima nzima haikonyezi wala haipepesi macho kwa hiyo zinatofauti.
kweli wewe ni kigogodaaaaa eeeh baba mungu muumba mbingu na ardhi ,baba mfalme wa kila kitu duniani na mbinguni..kwa nini bahati hii huniangushii mie mwanao!!!!dahhh kitu kinaelekea kibla chenyewe!!! duuuh mbona mi natereza tu kama nanawaaa
hahahahaha....ni PM nikupe!kiongozi ukipata contact nipasie na mimi...sie ndugu hatunyimani vitu vizuri ati.kizuri kula na nduguyo