King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
wifi upo juu!afu baba mkwe wako alikuwa anataka afungue studio,nadhani single ya kwanza itakuwa yako.hongera,ila usiongee na wanaume sirini eeh.
Magulumangu jamani mbona wataka niumbua..</p>
<p>Nilichokwambia sirini hadharani wafichua....</p>
<p>Kila nililokueleza hivi sasa najutia....</p>
<p>Hakika nakwambia leo mwisho kunijua.,,