Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,764
- 59,070
Haa njoo mwaya labda tutaanzisha kabendi ketu ka kizushi...,Nakuja Lizzy mana baba aliniusia sana niwezalo kujifunza jifunze, labda naweza pata hata kazi... Home pamenichosha...
Haa njoo mwaya labda tutaanzisha kabendi ketu ka kizushi...,Nakuja Lizzy mana baba aliniusia sana niwezalo kujifunza jifunze, labda naweza pata hata kazi... Home pamenichosha...
Mie king'ang'anizi kama luba weeeee siachii ng'oSio koma na ukomae????
Hhahhahahh we una lako jambo.....yani hayo yote bado hutaki kuachia??
Mhhhh kazi ipo!!!Alafu nimeona umesema we ni kifisadi fulani....haya niambie una vijisenti vingapi nijisogeze!!!Mie king'ang'anizi kama luba weeeee siachii ng'o
King'asti vina hana hahahahaha ila shairi limetulia....keep her up...anamuonea wivu wifi yake Lizzy mwache tu....hajui mie Kifisadi furani?
Haa njoo mwaya labda tutaanzisha kabendi ketu ka kizushi...,
Hilo ndo neno Lizzy.... Binti una focus wewee.... Nielekeze taratibu basi....
Nataka utumie penseli ili ukikosea ufute.....
Tuanze...kitu cha kwanza ni kujua nini unachotaka kusema mf. Kupenda na kutendwa...,then ufikirie jinsi ya kupanga ulichotaka kusema katika hali ambayo itavutia kusoma bila kusahau vina mwishoni....katikati sio lazima!
Haya anza mazoezi......,
Lizzy samahani dear, ngoja niangalie kwenye kampas ya mwanangu.. narudi sasa hivi....
hila gani bacha jamani!
Me is waiiiiiiiiiiiting..........
Magulumangu jamani mbona wataka niumbua..
Nilichokwambia sirini hadharani wafichua....
Kila nililokueleza hivi sasa najutia....
Hakika nakwambia leo mwisho kunijua.,,
Kazi ngumu kweli kweli.... Nimejaribu hivi...
Kina baba wakitendwa,
wao daima kutopenda,
Kina mama wakitendwa,
wao hawana ya kutopenda,
Hhahhh asante Luka.....umenikumbusha ngoja nilitafute!!Big Up lizzy, umezingatia vina na mizani, hivi shairi nililokutungia lipo? Litunze mpaka tutakapoonana, you never know.
Kazi ngumu kweli kweli.... Nimejaribu hivi...
Kina baba wakitendwa,
wao daima kutopenda,
Kina mama wakitendwa,
wao hawana ya kutopenda,
Hahahhah ingekua ndo mtihani wa mwisho huu ungefeli kwasababu umefupisha sana mistari....ila kwakuanza Moi is proud!!!
Sasa naomba ufanye marekebisho kidogo!!!
Nadhani Lizzy akiendelea kukupa tuition,
si muda mrefu utakuwa malenga mtarajiwa,
keep it up!!!!!!
Duh! Ngoja nijaribu angle nyingine... Nivumilie Lizzy....