FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
ni kweli sisi ni sitaa,
nipe mpasho lakini ni mastaa wa nini?
nipe mpasho lakini ni mastaa wa nini?
Hahahhah ingekua ndo mtihani wa mwisho huu ungefeli kwasababu umefupisha sana mistari....ila kwakuanza Moi is proud!!!
Sasa naomba ufanye marekebisho kidogo!!!
ni kweli sisi ni sitaa,
nipe mpasho lakini ni mastaa wa nini?k
Kuna haja ya kupenda, hali najua naweza tendwa,
nitake mwenyewe kutendwa, hali mimi sitaki penda,
wote huja na nakupenda, hali nia kukutenda,
kuna haja ya kupenda, hali najua naweza tendwa,
Lizzy nikishindwa hapa naomba iwe home work...... Alafu hivi alama za viulizo zinaruhusiwa???
Hahahahaha yani kutoka kwenye grade F mpaka B-....kweli mwalimu kapata mwanafunzi!!!
Jamani makofi kwa bibie AD kwakua mwepesi wa kujifunza!
heko asha d kazi yako! Mashairi yana raha yake bwana!
Hehheheh asante dear!!!Asante Dear you are a great teacher.... nacheka cheka tu hapa.....
:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:
Hehheheh asante dear!!!
A great teacher + a great student makes a winner!
Nataka utumie penseli ili ukikosea ufute.....
Tuanze...kitu cha kwanza ni kujua nini unachotaka kusema mf. Kupenda na kutendwa...,then ufikirie jinsi ya kupanga ulichotaka kusema katika hali ambayo itavutia kusoma bila kusahau vina mwishoni....katikati sio lazima!
Haya anza mazoezi......,
Lizzy samahani dear, ngoja niangalie kwenye kampas ya mwanangu.. narudi sasa hivi....
Big Up lizzy, umezingatia vina na mizani, hivi shairi nililokutungia lipo? Litunze mpaka tutakapoonana, you never know.
Hahahhah ingekua ndo mtihani wa mwisho huu ungefeli kwasababu umefupisha sana mistari....ila kwakuanza Moi is proud!!!
Sasa naomba ufanye marekebisho kidogo!!!
ni kweli sisi ni sitaa,
nipe mpasho lakini ni mastaa wa nini?k
lizzy kaingizwa town tayari hahahaha
Me like me ticha.... lol....Kwa hiyo ni wazi sasa kua nafaa katika hio bendi ulikua unazungumzia ???
Magulumangu ni kawivu haka nakaona????Walimu bwana mie simo, sasa atafutaje na kashamwaga wino sio Penseli? kazi ipo walimu
Yani hapa ni one way to success....no return ticket and no refund!!Uko tayara my dear mwanafunzi??!