Hasheem Thabeet afanya kufuru, amwaga mamilioni disco!

Fareed

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
328
135
Mimi nikiwa kama mdau wa viwanja vya starehe vya usiku, nimekuwa nikikutana na supastaa wa Tanzania, Hasheem Thabeet, ambaye anacheza mpira wa kikapu wa kulipwa huko Marekani.
Wadau wa Arusha wanasema wiki iliyopita Thabeet alikuwa huko siku ya Alhamisi kwenye club inayoitwa Vai Vai. Hapo alionekana akiambatana na crew (wapambe) kibao na kununua vinywaji huku akiwa amezungukwa na vimwana kibao.

Kali kuliko yote ilitokea hivi karibuni siku ya jumapili ambapo mwanamuziki wa Bongo fleva, Dully Sykes, alikuwa anafanya show Bilicanas jijini Dar.
Wakati Dully anaimba wimbo wake maarufu wa "Bongo Fleva Naipenda" jukwaani, Thabeet alienda na kumpa bulungutu kubwa la pesa ambalo ni kati ya shilingi laki 5 mpaka sh milioni 1. Baada ya hapo Dully alipata kiwewe cha ghafla na kuacha kupiga shoo kwa muda huku akimwaga misifa kwa Thabeet.

Thabeet hakuishia hapo, alipanda juu pale Bils na kumwaga mamilioni ya noti chini kwa watu walio kwenye dance floor. Ilibidi watu waache kucheza disco na kuanza kugombania kuokota noti alizokuwa akimwaga. It was raining money...
Pia alizunguka kwenye meza za watu na kuanza kugawa ofa za vinywaji. Wapambe wake wanasema siku hiyo Thabeet alienda Bureau de change na kubadili dola elfu 15 (sawa na shilingi 22.5 milioni). Mpambe huyo alisikika akisema usiku huo mmoja Thabeet aligawa shilingi milioni 10 hapo Bils.

Ukiacha Bils, Thabeet pia amekuwa akitembelea viwanja vingine vya dar karibu kila usiku ikiwemo Nyumbani Lounge kwa Lady JD na Mafian kwa Kimbau. Huko amekuwa na tabia ya kuingia nyuma ya counter na ku-serve vinywaji kwa wateja bure yeye mwenyewe na bili yote hulipa yeye. Alionekana akifanya kufuru hizo huku akiwa ameambatana na girlfriend wake, Jokate.

Pia Thabeet anajulikana kupendelea kwenda Nairobi na wapambe wake na kufanya starehe kubwa. Supastaa huyu akiwa Dar hufikia Kempinski Hotel na kuwaambia wasichana warembo waende kulala naye kwenye hoteli hiyo. Tangu ashushwe daraja kutoka NBA kwenda ligi ya chini, Thabeet amekuwa akionekana mara kwa mara Dar utafikiri hana kazi ya kufanya kule Marekani.
Wadau wanasema kushushwa kwake daraja kunatokana na kushuka kiwango kwa kukosa discipline (nidhamu) ya mazoezi na work ethic.

Afisa mmoja wa Benki iliyopo Dar amesema kuwa Thabeet kwa wiki anapokea zaidi ya shilingi milioni 100 kutoka Marekani na huenda pesa hizo ndiyo zinamchanganya. Ikumbukwe pia kuna siku Thabeet alimpiga mtama mwanamuziki TID nje ya ukumbi wa disco.

Sijui kwa mwenendo huu kijana huyu atadumu mpaka lini kama professional baller huko Marekani. Namuonea huruma kijana huyu, sijui pesa zake anaziwekeza kwenye miradi ya kumsaidia baadaye au la? Maana kashashushwa daraja. Akishindwa huko pia akafukuzwa hali itakuwa mbaya sana kwake.

Mama yake, ndugu zake na marafiki zake wanahitaji kumpatia ushauri wa nasaha.
 
Mimi ningemshauri Hasheem arudi Texas na kufanya mazoezi ya summer ya kati ya Yao, Olujuwon au Mutambo badala ya kutanua bongo kwa sasa. Ukweli ni kwamba kiwango chake kimeshuka kiasi kwamba timu ya Rockets inafikiria kununua contract yake. Hii ni kwamba wanamlipa pesa ya kumtoa kwenye timu. Hii sio nzuri kwani timu nyingine hazitaweza kumsajili mchezaji wa hivyo. Mimi ninajua Hasheem anao uweza wa kupandisha kiwango chake lakini ni mvivu na anapenda sifa badala ya game. Anaweza kupata pesa nyingi kwa miaka iliyobakia kwenye mkataba lakini ni lazima uelewe kwamba wewe bado ni mdogo na hiyo pesa bila kuwekeza vizuri na makodi ya marekani na ma agent utaishiwa mika 10 ijayo na huwezi kufanya kazi. Achana na marafiki ambao hawakuambii ukweli na tafuta vijana waliotulia kama kaka zako hapa Texas wakushauri bila kujali unawapa nini.
 
tumblr_lkrvjbS9bA1qcx04f.gif


I do this when i get ma money doe......
 
Wabongo mlivyo wanafiki, aki lost hapa mtaanza kuponda sasa hivi anatumia mnasema acheni atumie si za kwake? Najua mshikaji bado ni kijana mdogo sana na hiyo cash ina mzuzua na ukizangatia kwa mtanzania kwa umri kama wake kuwa na fedha nyingi kiasi kile ni nadra sana au naweza kusema yeye ndio wa kwanza..
Jamani mshaurini vizuri sio kumpa sifa za kijinga na mtanzania mwenzetu
 
Sitataka Hasheem Thabeet aishie pale watanzania wengi wanapoishia wakipata hela. Ila kama wadau wengine wanavyosema inabidi atulie afanye mazoezi ili apande kiwango. Tatizo la kuridhika ni ugonjwa unaowapata watanzania wengi na ndo maana umaskini unaongezeka.
Tulidhani tumepata balozi atakayeiondolea Tanzania aibu katika medani ya michezo ya kimataifa na kuinua bendera yetu juu lakini kwa habari hizi kama ni za kweli basi tumekwisha. Thabeet please geuka hao wapambe wanakuharibia, tulia tafutu meneja mzuri na nenda kwa washauri wakusaidie ili future yako isije kuwa na majuto. Umepewa nafasi na kipawa na Mungu basi usi abuse hiyo fursa mTZ mwenzetu jaribu kuzinduka na kuwa tofauti. Hebu angalia Tyson mahela aliyopata na kwa kuwa alikosa nidhamu ya matumizi basi akafilisika. Elewa hutakwepa kuingia katika mkumbo huo kama hutatafuta watu wenye akili wakupe ushauri pia upunguze kushinda kwenye vilabu vya kipuuzi.
Kutoa milion 10 kuwagaiwia watu ni kujichora na kujidhalilisha na ni ushahidi kwamba bado uwezo wako wa kudhibiti nguvu ya hela bado ni mdogo. Kwa upande mwingine unatangazia umma kwamba pamoja na kukaa US kwa muda mrefu bado ulimbukeni haujakutoka na kwamba unapelekeshwa na wahuni.

Piga U-TURN kubwa urudishe heshima bwana mdogo kabla haijawa too late.
Tunakuombea na tunakutakia mafanikio mema na utuwakilishe vema. Tutajisikia vibaya sana kama utaacha kupokea ushauri mzuri halafu leo na kesho ukarudi bongo ukafilisika baada ya miaka mitano. jifunze kwa akina Mutambo ambao wamejenga vitua vikubwa vya afya huko kwao na kuacha legacy kubwa hata kama leo atastaafu.

Angalia usiache legacy ya kuzunguka kumbi za starehe NO BODY WILL EVER REMEMBER YOU FOR THAT ila ukafanya kitu tangible cha kimaendeleo basi wewe utakuwa unatumiwa kama mfano wa kuigwa.

Raise up, make up your mind, think about the future and move forward kiutu uzima acha utoto.
 
Hasheem mshamba Tanzania ina maeneo kibao kwaajili ya uwekezaji sikuakifilisika atakumbuka misifa ya kijinga.Mwambieni aje Arusha akutane na mifano kibao ya machalii waliokamata fedha za mawe [Tanzanite] wakachezea sasa wamefulia vibaya.
 
Guns and Butter. Butter ni matanuzi na Guns ni shughuli inayoingiza pesa. Its better aka-invest for the future. Walikuwepo wanamichezo ambao walikuwa maarufu+hela kushinda hata huyu bwana mdogo leo hii wapo chokest. Ainvest
 
Waswahili bwana duuuh, wameshaanza na umbea wao. Kwani akigawa hela wewe inakuuma nini???? au kwa sabaru wewe hazijakufikia.

Maadam haitokei kwa ndugu yako wewe unaona hiyo ni sawa siyo? hivi angekuwa kaka yako au mdogo wako anagawa fedha bila mpangilio wakati fedha siyo majani useme zitachipua tena ungethubutu kutoa hii comment?
 
anyway it's your perception ,ila nampa big up jamaa for sharing povertyin Tanzanian na kuzungusha round bar however
stil can hang out there in Texas or wherever!
no place for leisure in Bongo.very low class.wasn't even in a list in the leisure centres around the globe.
somehow Nairobi.
kwa njaa za njaa bongo caused by f****gv leders u can say kufuru ....na hapa ndiyo muwashangae hao mafisadi wa bongo nini wanafaidi ?

by the way for advice $100 plus allowance and other opportunities he can invest in
basketball academy in TZ and stil he do any kind of leisure.
 
Weezy na drake walimwaga $ 250000/= club juz kat,.almost Tshs million 300/=..sio mbaya kwa huyu ngongoti wetu akishow love..kwa kumwaga $ 10k.
 
DSC_0456.jpg


hapa dogo akiingia na jokate kudadadeki....
20.jpg


shori jokate hapo anauwazia mkwanja tu....
5.jpg


lol kudadadeki later kidogo hasheem na shori wake jokate wakasepa....viti vyao vikiwa na watu wengine....
 
huyu dogo anacheza sana, nadhani huyo Jokate ana mmislid na hiyo mbunye yake lkn bahati haiji mara mbili
 
Back
Top Bottom