Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,184
- 2,471
Heeeeeeee! Tena zimejaa kutu.Mshiki uko na sonona kali sana,mkurugenzi ndio mshika pesa fanya fasta chukua boda ukamuulize hilo swali, mimi ntalipa hela ya boda.
Yani mwaka huu mtatema ulimi meko huko kimara na mbezi hawataki kumsikia pamoja na kujipitisha sana njia hiyo.
Yani majimbo ya Dar mnapigwa spana size zote
.
View attachment 1593754