Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
Bwana ametoa na bwana ametwaa
BWana ilihali hao hawamwamini Bwana?
Bwana ametoa na bwana ametwaa
bado hujanijibu nikakuelewa, yaani alikuwa nani katika jamii hadi ukafikia kuleta thread humu ndani? Mimi namfahamu bakari mwapachu yule aliyewahi kuwa naibu waziri kipindi kile usamala wa raia baade ikaletwa tena mambo ya ndani. Ndiyo huyo mwanae, vinginevyo mwaga cv ya marehemu badala ya kuishia kusema amekufa.
Amina! Post ulioleta inaeleweka, kw yyt aliezaliwa Tz especialy mjini mjini hatokuuliza swl km vl toa cur-vitae za Marehem e.c.t hao wakuulizao nadhani ni wenzetu waliotoka interior wavumilie
BWana ilihali hao hawamwamini Bwana?
Cheo si muhimu. Umuhimu ni kwamba alikuwa BINADAM, ndugu yetu, Muislam mwenzetu!
Innalilahi Wa Innalillahi Raaj'un!
Lol.... Umenichekesha sana!...haya RIP kijana wa mtaani kwa Shark...
Amina! Post ulioleta inaeleweka, kw yyt aliezaliwa Tz especialy mjini mjini hatokuuliza swl km vl toa cur-vitae za Marehem e.c.t hao wakuulizao nadhani ni wenzetu waliotoka interior wavumilie
ni kweli kabisa. ITV wameandika kua maziko yake yanafanyika j5. Tena kwenye habari za kitaifa.
Kaka yake Juma naye anaitwa Harith Mwapachu?
Harith Mwapachu..mtoto wa pili wa mzee mwapachu..huyu jamaa aliishi sana nje..akarudi bongo..alikua anakaa mikocheni B maeneo ya shule ya ushindi na alikuwa anakunywa sana pombe..hata kifo chake kimetokea ghafla tena akiwa karibu na bar..maeneo ya kwake,karibu na maghorofa ya bima....
Mbaya zaidi ..marehemua alikua na kashfa ya kuwa shoga...binafsi namfahamu kiasi...mara chache tushakaa naye maeneoa ya Safari carnival....kupata mbili tatu...
R.I.P Harith Mwapachu