Taarifa kwa simu kutoka Inyala, Mbeya zinasema basi la Happy National limeanguka baada ya kushindwa kuumudu mteremko wa pale TAZAMA, maarufu kama Pipeline.
Habari toka kwa abiria alipanda basi la Nganga, anasema watu wamejeruhiwa vibaya ila hakuna vifo.
Basi hilo likiwa kwenye mwendo kasi lilitaka kulipita basi la Nganga, lakini kukawa na gari jingine linapandisha mlima huo, ndipo dereva akalazimika kulirudisha nyuma ya basi la Nganga na kuligonga kwa nyuma na kupinduka. Abiria wa basi la Nganga wamesalimika wote.
Mlio Mbeya tupeni taarifa zaidi hapo rufaa.
Mungu ashukuliwe mgomo wa madaktari umeisha, vinginevyo!!!!!!.
Habari toka kwa abiria alipanda basi la Nganga, anasema watu wamejeruhiwa vibaya ila hakuna vifo.
Basi hilo likiwa kwenye mwendo kasi lilitaka kulipita basi la Nganga, lakini kukawa na gari jingine linapandisha mlima huo, ndipo dereva akalazimika kulirudisha nyuma ya basi la Nganga na kuligonga kwa nyuma na kupinduka. Abiria wa basi la Nganga wamesalimika wote.
Mlio Mbeya tupeni taarifa zaidi hapo rufaa.
Mungu ashukuliwe mgomo wa madaktari umeisha, vinginevyo!!!!!!.