Happy Birthday Aspirin
how old are you now
happy birthday dear kitablet
happy birthday to you
Watu wabaya sana..,naona sana hivi umekuwa wa gold! Nitakuweza kweli?oooh rejao me ban me, me unban me.
Anti si unaona mwenyewe? Babu ananitaka mimi ndio nikae nae... Ila kwa vile mimi nimtiifu ngoja nikatoe zile sahani, nizisuuze na kuzipanguza vizuuuuuri alafu nirudi kwa babu anikatie hadithi.
Bado tuna time, si wageni wanakuja kupata chakula cha mchana?
Afu nani atafanya usafi toilet? Patia yeye hiyo kazi, asaidiwe na Lizzy.
kwanza kabisa naomba uwaeleze waalikwa waelewe kuwa....wimbo wa kuingilia ukumbini ni kiduku....hivyo basi ambae hatacheza kiduku atatolewa nje....zaidi ya hapo yanayofuatia ni sapraiz....
Heri ya siku ya kuzaliwa kwako Asprin!
Mungu akujalie na kukuzidishia....
Asha, mi nldhani hii party mnaitupa kwa surprise kwa huyu babu? Sasa naona anaingilia shughuli za kamati yako.... Imekuwaje?
Babu yetu mjanja huyu, hata AshaDii hamuwezi! alishtuka kabla yetu sote na kujitakia mwenyewe happy birthday. lol
Babu mimi sikuwish birthday yako mpaka AshaDii atambue uwepo wangu kama mjukuu mtiifu, mkongwe na mkuu! Yaani hajanitaja wala kunipangia kazi utafikiri siishi hapa nyumbani!!
Wallah leo patachimbika, kama sijawanywesha yale madrip yako sijui...ammah!
We jidaishe tu tutaona mtapitia wapi wakati funguo za geti nnazo mimi!
Wifi, tuko busy na shopping, tumekubaliana kufanya overhaul. Mwaka mpya with new king size bed, orthopedic matress manake babu anazeeka sasa, new curtains na new linens. Dressing table ya mama matesha utamletea plz...
Ntarudi kwa salamu za besdei
babu anachezea 72 sasa si haba kongosho
Golden mpoleee ni mtoto mzuri na mpoleee
Golden mpoleee anataka pia awe mjukuu wa babu
Golden mpoleee anaweza mikiki yooote ya ujukuu
Golden mpoleee atakapokubaliwa ujukuu hapo ndio
Golden mpoleee atatoa salam za birthdy.
Mi najipangia kazi ya kusimamia keki
Naona MJ1 yeye kaanzisha zogo,
mie aku hapa kwa babu najipangia kazi nayotaka.
Ntakuwa mlinzi wa vinywaji pia, sijui nimwalike na rafiki angu Fidel80?
Golden Mpolee, aisee what a home coming indeed! lol.... Naona umejibadilisha hopefully for the better dear.... Jua kua baba aumwa tu! Babu kamwe hakataagi wajukuu, the lot the better, hivo wewe m-wish tu hio Birthday, Huwezi jua maybe he will feel better na kupona kabisa!
Afadhali! Haya yameisha ngoja nimpoze huyu Babu kwa kumkata kucha!
Happy Birthday ODM. Leo nakupumzisha Drip.
Da AshaDii, shemeji yake ODM, usisahau kumsafishia miwani yake vumbi
Orait
Happy Birthday hommie!
yaani vinywaji siku za jumamosi vinasumbua....had to drive all the way hadi Illa na Chang'ombe kuhakikisha vinywaji vyote vipo....
Hapa nilipo jasho linanitoka
Sweetie hebu do ze nidiful walau jasho linikauke
Halafu huyu ndugu yetu JGwalu aanze kabisa kuporomosha miziki walau tuzoee kiduku....Leo ni kunywa kula kucheza hadi asubuhi!
Happy birthday ODM (again)...Biya inakupenda ila Baltika inakupenda zaidi! LOL
Kongosho yaaani leo sherehe itachelewa kuanza... Watu wanatega saaana. Azima ile hazina ya Wifi King' naomba unisaidie kuwa mobiliese nikaangalie hizo shughuli zingine zaenda vipi!