jamani mimi nimezaliwa dec 12 japo nimechelewa nitafutieni twin
8/8
Nalog off
[FONT=book
antiqua]Pacha wangu sijampata, labda sasa nitafute watu wenye umri moja
na mimi wawe mapacha zangu.[/FONT]
asante mkuu aka twinafadhal na mie nimepata wa kufanana naeDah... hatimaye nimebamba mmoja!! Hongera pacha wangu! Na mimi ni Nov 9
4 November
28 April
nawe ulikuwa na kiherehere cha kuyajua ya dunia, ungewait kidoogo tu tungetoka wote!