Hii kitu kama nimeshaiona KM chache tu kuingia mjini Kahama ukitokea Tinde/Isaka/Kagongwa
Iko pembeni kidogo tu barabara kuu ya Kutoka Kahama kwenda Shinyanga/Nzega kupitia Tinde. Haiko mbali sana kutoka pale Kahama takribani 5-6km tuNi kweli hiyo shule ipo ila sina uhakika ni sehemu gani
Hutaijua kwamba imetengenezwa namna hiyo!!Sili hiyo
Ulikuwa msiba wa msanii gani huo?View attachment 373013
"Rahisi" wa misiba
Ooh sawaKanumba