ungeweka kitu nyasi, hii ya watoto.
Umetokwa udenda na wewe?
Oyaa Jombaangu niajeniaje tena na hii makitu aseeea!
Acha noma arifu, hii stimu ya ya maukwe....maukweli atii!
Mzigo wa wapi...Tengeru, Odonyo-Sambu au Meru?
Sigara ***** na hii ipi tamu???
Una akili sana wewe, kama mzazi wako wa kiume!
Moshi ndio wenyewe mbona, unanukiaaahii haina moshi mkuu. hii unakula tu na unakua mzuka mbaya aaaarif. mia
Hilo gomba linaitwa kombo! Limesimama mbaya! Handas lake likikunasa unapenda utulivu! Safi!
Mmmwaaaaaaaaaaaaaaah....... Bishanga akisoma hapa lazima ajitoe jf!
Pitia maeneo ya msikiti wa bondeni......nimekuwekea oda yako.....big G atakuletea Preta