Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 131
ni kweli mkuu, wengine tuko tofauti, hatuna aibu but not always au tunatumia mitego, eg najifanya kutandika kitanda nimeinama na niko na suti ya kuzaliwa, mwenzio kama ni muelewa anapata jibu hapo:A S 8::A S 8::A S 8:Mimi wa kwangu huwa hasubiri kuanzwa bali hunianza mara tu anapokuwa anajisikia na huniambia kwa uwazi kuwa nataka mambo fulani.