GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 5,306
- 7,230
Siyo kuna mda, bali mara nyingi huwa hivyo. Labda kama hakusema vya kutosha hadi taarifa hiyo izame kwenye subconscious mind. Taarifa yoyote inayoofikia subconscious mind, iwe nzuri au mbaya, kiyakachofuatia ni utekelezaji.Sema kuna mda maneno hua yanatimia mimi kuna mwanangu alisemaaga yeye hataki ushahidi siku ya mbanga watu walimtoa vipande vya nyama na beleshi
Ikiwa alijiyabiria mabaya, subconscious mind itamuongoza kwenye mazingira ya kuyapata hayo mabaya kwa kiwango "alichotamani".