gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,291
- 5,879
Tatizo sio mwendo kasi bali mwendo kasi kwenye nchi gani na barabara gani.Nchi zetu miundombinu bado ni changamoto,unakuta barabara ni highway ila ina viraka na mashimo kama chandarua uku watumiaji wengine wa barabara nao wamejiachia bila kujali chochote.Kuna siku natokea Dodoma niko kwenye speed ya 120km/Hr ikatokea V8 ikani-ovetake. Si nikasema nile nayo ligi, kufika speed ya 160km/Hr nikasema hivi nikipata ajali kwa mwendo huu kweli nitapona?
I later slow down to 80km/Hr nikaiacha V8 ikipotea machoni kwangu
Kusema kweli Ajali nyingi huchangiwa na Mwendokasi
Mwendokasi unaua....
Poleni kwa misiba