Hivi ukitoka bedroom ukaenda sittingroom utakuwa umehama nyumba? Hamadi Rashidi anawaza nini hasa? Mtu mwenye uelewa wa kawaida tu (rational) atoke CCM aende CUF halafu aseme amehama chama! Lazima uelewa wake uwe substandard,Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid, amesema maneno yanayotolewa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa CUF ni CCM B. ni ujanja unaotumika kuwahadaa wananchi, ili wasitambue uswaiba wa Chadema na CCM.
Alisema Chadema ni chama chenye uswaiba mkubwa na CCM na kwamba, kimekuwa kikipewa fedha na makada wa chama tawala, ndio kimbilio la vigogo wanapohama chama tawala, Alibainisha hayo juzi alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa oporesheni kitaifa ya Zinduka, awamu ya pili itakayoendeshwa nchi nzima kwa viongozi wa Cuf kuwaeleza wananchi kuhusu mustakabali wa taifa hili.
Katika mkutano huo ulifanyika katika Uwanja wa Tangamano na kuhudhuriwa na Umati mkubwa wa watu. mbunge huyo alisema kauli iliyoanza kutolewa hivi karibuni kuwa CUF ni CCM "B" ni njama ya vyama hivyo viwili yaani Chadema na CCM kuwahadaa kwa makusudi wananchi wasijue kuhusu uswahiba uliopo baina vyama hivyo. alisema Chadema ina uhusiano wa karibu na CCM kwani ni chama pekee cha upinzani kinachoungwa mkono na baadhi ya vigogo wa waliopo madarakani. katika Serikali ya CCM na hata waliostaafu, Chadema inaangaliwa kwa jicho la karibu na CCM sababu imeandaliwa kwa ajili ya wabunge au vigogo wa CCM kuhamia, nadhani wenyewe mnashuhudia hakuna kigogo anayehama CCM na kuthubutu kuja CUF kwa kuwa wanao tuna msimamo usiokuwa wa kuyumba. alisema Hamad Rashid.
Source Mwananchi Machi 24, 2011
hii si sehemu ya mipasho hapa ni JF changia kwa hojaSema sema sema mheshimiwa ni la mwiisho Chadema ni chama cha Kikanda, kikabila na Kidini zaidi.
sema sema sema mheshimiwa ni la mwiisho chadema ni chama cha kikanda, kikabila na kidini zaidi.
</p>Kwa sasa, ndg zangu wana CUF ni vema mkafikiri jinsi ya kuwahamasisha watanzania ili wakipende chama chenu, bila hivyo yangu macho, siku si nyingi CUF kitapotea machoni mwa watanzania. Mlidhani kujiunga na CCM mtakuwa salama, hakika hapo mlicheza bahati na sibu, tunaelewa kuwa<b><i><font size="3"> Chatu</font></i></b> hata akishiba ustarabu wake ni wa muda mfupi tu. Subiri mumuone chatu huyo kama atawasalimisha.Kale kamchezo ka baba na mama naona hamkajui, time it will tell you.
Huwezi kulificha Pembe la ng'ombe. Udini na Ukanda unawamaliza. japo mnaliangalia kwa jicho la kengeza
Umesahau kubwa lao mtaalam wa kukurupuka .. DR Silaha.
Umesahau kubwa lao mtaalam wa kukurupuka .. DR Silaha.
mbunge wa wawi, hamad rashid, amesema maneno yanayotolewa na viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuwa cuf ni ccm b. Ni ujanja unaotumika kuwahadaa wananchi, ili wasitambue uswaiba wa chadema na ccm.
Alisema chadema ni chama chenye uswaiba mkubwa na ccm na kwamba, kimekuwa kikipewa fedha na makada wa chama tawala, ndio kimbilio la vigogo wanapohama chama tawala, alibainisha hayo juzi alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa oporesheni kitaifa ya zinduka, awamu ya pili itakayoendeshwa nchi nzima kwa viongozi wa cuf kuwaeleza wananchi kuhusu mustakabali wa taifa hili.
katika mkutano huo ulifanyika katika uwanja wa tangamano na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu. Mbunge huyo alisema kauli iliyoanza kutolewa hivi karibuni kuwa cuf ni ccm "b" ni njama ya vyama hivyo viwili yaani chadema na ccm kuwahadaa kwa makusudi wananchi wasijue kuhusu uswahiba uliopo baina vyama hivyo. Alisema chadema ina uhusiano wa karibu na ccm kwani ni chama pekee cha upinzani kinachoungwa mkono na baadhi ya vigogo wa waliopo madarakani. Katika serikali ya ccm na hata waliostaafu, chadema inaangaliwa kwa jicho la karibu na ccm sababu imeandaliwa kwa ajili ya wabunge au vigogo wa ccm kuhamia, nadhani wenyewe mnashuhudia hakuna kigogo anayehama ccm na kuthubutu kuja cuf kwa kuwa wanao tuna msimamo usiokuwa wa kuyumba. Alisema hamad rashid.
Source mwananchi machi 24, 2011
Sema sema sema mheshimiwa ni la mwiisho Chadema ni chama cha Kikanda, kikabila na Kidini zaidi.
mbunge wa wawi, hamad rashid, amesema maneno yanayotolewa na viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kuwa cuf ni ccm b. Ni ujanja unaotumika kuwahadaa wananchi, ili wasitambue uswaiba wa chadema na ccm.
Alisema chadema ni chama chenye uswaiba mkubwa na ccm na kwamba, kimekuwa kikipewa fedha na makada wa chama tawala, ndio kimbilio la vigogo wanapohama chama tawala, alibainisha hayo juzi alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa oporesheni kitaifa ya zinduka, awamu ya pili itakayoendeshwa nchi nzima kwa viongozi wa cuf kuwaeleza wananchi kuhusu mustakabali wa taifa hili.
katika mkutano huo ulifanyika katika uwanja wa tangamano na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu. Mbunge huyo alisema kauli iliyoanza kutolewa hivi karibuni kuwa cuf ni ccm "b" ni njama ya vyama hivyo viwili yaani chadema na ccm kuwahadaa kwa makusudi wananchi wasijue kuhusu uswahiba uliopo baina vyama hivyo. Alisema chadema ina uhusiano wa karibu na ccm kwani ni chama pekee cha upinzani kinachoungwa mkono na baadhi ya vigogo wa waliopo madarakani. Katika serikali ya ccm na hata waliostaafu, chadema inaangaliwa kwa jicho la karibu na ccm sababu imeandaliwa kwa ajili ya wabunge au vigogo wa ccm kuhamia, nadhani wenyewe mnashuhudia hakuna kigogo anayehama ccm na kuthubutu kuja cuf kwa kuwa wanao tuna msimamo usiokuwa wa kuyumba. Alisema hamad rashid.
Source mwananchi machi 24, 2011
Hebu ondowa jazba na uisome tena hiyo habari pengine kuna kaukweli wa namna fulani. Ukweli wauma hata hivyo lafiki yangukufirisika ki fikra na kisiasa!! CDM ni chama makini kinachovutia wananchi wengi hata kutoka ndani ya vyama vingine mbalimbali ccm/cuf vikiwemo kwa sababu ya kusimamia ukweli na kupinga ufisadi kwa dhati. Kina historia njema machoni mwa watanzania,na ni chama mbadala kuwavusha watanzania katika changamoto za leo baada ya ccm kushindwa.
Mbona ruksa kama ni hivyo huwezi kumlazimisha Muhaya ale pweza ima mpemba ale senene kula kitu roho inapenda.
niende cuf ipi!
cuf mageuzi!
cuf upemba!
cuf udini!
cuf uccm!
Kazi kweli kweli mmesha kuwa Adui no1 wa taifa letu.