Hamad Masauni: Kamera zenye Mfumo wa utambuzi wa Sura kufungwa Dar es Salaam, Arusha na Dodoma

Hili ni suala la upigaji. Tunahitaji kamera wakati watu wengi wanafariki kwa magonjwa ya kutibika? Wanaofariki kwa uhalifu wanafikia hata 1/100 ya wanaokufa kwa kukosa mahitaji muhimu? Kwa taarifa yao ni kuwa kamera kama hizi haziwezi kuzuia uhalifu hasa kwenye mazingira kama yetu.
Vipaumbele vyetu ni fursa za watu kupiga, wakati wa kuandaa bajeti ndio muda ambao watu huwa wanachomeka fursa za kupiga.
 
Nimemkumbuka JPM ni lile sakata la kununua drones kule zimamoto.

Tutamkumbuka kweli yule mzee 😢. Ni kama alikuwa anaona vile yatakayofuata baada ya yeye kuondoka.
 
Vipaumbele vyetu ni fursa za watu kupiga, wakati wa kuandaa bajeti ndio muda ambao watu huwa wanachomeka fursa za kupiga.
Umesema kweli kabisa. Mpango kama huu unakuta ni mtu amejiwa na li-kampuni likampa idea ya kufunga kamera na wakamuahidi bakshishi iwapo watakubaliwa. Tena kama hizi kampuni za kichina ni fisadi kweli kweli. Au ni huyo huyo Masauni au ndugu yake ina hisa kwenye hizo kampuni. Samia haiwezi hii nchi. Siyo kosa lake kwani system ilishavurugika siku nyingi, ila kosa lake ni kukataa kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa uongozi ili tuwe na system mpya.
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023.



Ufungaji wa kamera za Ulinzi
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi limekamilisha mradi wa ujenzi wa mji salama utakaotumia kamera zenye mfumo wa utambuzi wa Sura.

Katika awamu ya kwanza, kamera hizo zitafungwa Katika mkoa wa Arusha, Dar es salaam na Dodoma. Hii ni sehemu ya kuongeza nguvu katika kubaini na kuzuia vitendo vya kihalifu nchini.

Hali ya Magereza Nchini
Akizungumzia hali ya magereza nchini, Waziri Masauni amesema hadi Mei 2023, jumla ya wahalifu 30,901 walikuwepo kwenye magereza yote nchini ambapo wafungwa wapo 18,887 na mahabusu 12,014.

Pia, Utekelezaji wa adhabu Mbadala umekuwa unafanyika ambapo wafungwa wenye kifungo cha nje wapo 780 na waliohukumiwa kutumika vifungo vyao kwa kutoa huduma kwa jamii wakiwa 3,719.

Matukio 14,184 ya ukatili wa kijinsia yameripotiwa Polisi
Kutoka Julai 2022 hadi Mei 2023, jumla ya mashauri 14,184 ya matukio ya ukatili wa kijinsia na Watoto yalitolewa taarifa katika vituo va Polisi ikilinganishwa na matukio 12,642 yaliyotokea kipindi kama hicho mwaka uliopita.

Matukio ya Ajali za Barabani ni 1,283
Hali ya usalama barabarani imeimarika kutokana na Jeshi la Polisi kusimamia Sheria za Usalama Barabarani.

Amesema “Katika kipindi cha Julai 22, 2022 hadi Mei 23, 2023 matukio ya ajali yalikuwa 1,283 tofauti na mwaka mmoja uliopita ambapo yalikuwa 1,731, hivyo yamepungua kwa 25.9% sababu ikiwa ni kuimarika kwa usimamizi wa Sheria, kufanyika kwa oparesheni maalum Nchi nzima na elimu kutolewa kwa makundi yote.”

Waziri Masauni: Magereza yote nchini yana wahalifu 30,901
Akizungumzia hali ya magereza Nchini, Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema hadi Mei 2023, jumla ya Wahalifu 30,901 walikuwepo kwenye magereza yote, kati yao wafungwa ni 18,887 na mahabusu ni 12,044.

Amesema utekelezaji wa adhabu mbadala umekuwa unafanyika ambapo wafungwa wenye kifungo cha nje wapo 780 na waliohukumiwa kutoa huduma kwa jamii ni 3,719, ameeleza kipindi kama hiki kwa Mwaka 2021/22 kulikuwa na Wahalifu 32,671 gerezani

Hiyo pesa si wangejenga tu barabara kule Mlimba Morogoro na sehemu nyingine zinazozalisha sana chakula kusaidia wakulima kufikisha mazao masokoni

Wangejenga madarasa Kwanza
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023.



Ufungaji wa kamera za Ulinzi
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi limekamilisha mradi wa ujenzi wa mji salama utakaotumia kamera zenye mfumo wa utambuzi wa Sura.

Katika awamu ya kwanza, kamera hizo zitafungwa Katika mkoa wa Arusha, Dar es salaam na Dodoma. Hii ni sehemu ya kuongeza nguvu katika kubaini na kuzuia vitendo vya kihalifu nchini.

Hali ya Magereza Nchini
Akizungumzia hali ya magereza nchini, Waziri Masauni amesema hadi Mei 2023, jumla ya wahalifu 30,901 walikuwepo kwenye magereza yote nchini ambapo wafungwa wapo 18,887 na mahabusu 12,014.

Pia, Utekelezaji wa adhabu Mbadala umekuwa unafanyika ambapo wafungwa wenye kifungo cha nje wapo 780 na waliohukumiwa kutumika vifungo vyao kwa kutoa huduma kwa jamii wakiwa 3,719.

Matukio 14,184 ya ukatili wa kijinsia yameripotiwa Polisi
Kutoka Julai 2022 hadi Mei 2023, jumla ya mashauri 14,184 ya matukio ya ukatili wa kijinsia na Watoto yalitolewa taarifa katika vituo va Polisi ikilinganishwa na matukio 12,642 yaliyotokea kipindi kama hicho mwaka uliopita.

Matukio ya Ajali za Barabani ni 1,283
Hali ya usalama barabarani imeimarika kutokana na Jeshi la Polisi kusimamia Sheria za Usalama Barabarani.

Amesema “Katika kipindi cha Julai 22, 2022 hadi Mei 23, 2023 matukio ya ajali yalikuwa 1,283 tofauti na mwaka mmoja uliopita ambapo yalikuwa 1,731, hivyo yamepungua kwa 25.9% sababu ikiwa ni kuimarika kwa usimamizi wa Sheria, kufanyika kwa oparesheni maalum Nchi nzima na elimu kutolewa kwa makundi yote.”

Waziri Masauni: Magereza yote nchini yana wahalifu 30,901
Akizungumzia hali ya magereza Nchini, Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema hadi Mei 2023, jumla ya Wahalifu 30,901 walikuwepo kwenye magereza yote, kati yao wafungwa ni 18,887 na mahabusu ni 12,044.

Amesema utekelezaji wa adhabu mbadala umekuwa unafanyika ambapo wafungwa wenye kifungo cha nje wapo 780 na waliohukumiwa kutoa huduma kwa jamii ni 3,719, ameeleza kipindi kama hiki kwa Mwaka 2021/22 kulikuwa na Wahalifu 32,671 gerezani

Hamad Masauni: Kamera zenye Mfumo wa Kuangalia speed barabarani huo mradi uliishia wapi? Ili kuondoa trafic barabarani na kupunguza rushwa?
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023.



Ufungaji wa kamera za Ulinzi
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi limekamilisha mradi wa ujenzi wa mji salama utakaotumia kamera zenye mfumo wa utambuzi wa Sura.

Katika awamu ya kwanza, kamera hizo zitafungwa Katika mkoa wa Arusha, Dar es salaam na Dodoma. Hii ni sehemu ya kuongeza nguvu katika kubaini na kuzuia vitendo vya kihalifu nchini.

Hali ya Magereza Nchini
Akizungumzia hali ya magereza nchini, Waziri Masauni amesema hadi Mei 2023, jumla ya wahalifu 30,901 walikuwepo kwenye magereza yote nchini ambapo wafungwa wapo 18,887 na mahabusu 12,014.

Pia, Utekelezaji wa adhabu Mbadala umekuwa unafanyika ambapo wafungwa wenye kifungo cha nje wapo 780 na waliohukumiwa kutumika vifungo vyao kwa kutoa huduma kwa jamii wakiwa 3,719.

Matukio 14,184 ya ukatili wa kijinsia yameripotiwa Polisi
Kutoka Julai 2022 hadi Mei 2023, jumla ya mashauri 14,184 ya matukio ya ukatili wa kijinsia na Watoto yalitolewa taarifa katika vituo va Polisi ikilinganishwa na matukio 12,642 yaliyotokea kipindi kama hicho mwaka uliopita.

Matukio ya Ajali za Barabani ni 1,283
Hali ya usalama barabarani imeimarika kutokana na Jeshi la Polisi kusimamia Sheria za Usalama Barabarani.

Amesema “Katika kipindi cha Julai 22, 2022 hadi Mei 23, 2023 matukio ya ajali yalikuwa 1,283 tofauti na mwaka mmoja uliopita ambapo yalikuwa 1,731, hivyo yamepungua kwa 25.9% sababu ikiwa ni kuimarika kwa usimamizi wa Sheria, kufanyika kwa oparesheni maalum Nchi nzima na elimu kutolewa kwa makundi yote.”

Waziri Masauni: Magereza yote nchini yana wahalifu 30,901
Akizungumzia hali ya magereza Nchini, Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema hadi Mei 2023, jumla ya Wahalifu 30,901 walikuwepo kwenye magereza yote, kati yao wafungwa ni 18,887 na mahabusu ni 12,044.

Amesema utekelezaji wa adhabu mbadala umekuwa unafanyika ambapo wafungwa wenye kifungo cha nje wapo 780 na waliohukumiwa kutoa huduma kwa jamii ni 3,719, ameeleza kipindi kama hiki kwa Mwaka 2021/22 kulikuwa na Wahalifu 32,671 gerezani
 
Blah Blah Blah kutoka kwa minister wangu wa home affairs, kwanza hili liwizara ni kubwa mno,vunja na unda police ministry (ulinzi wa raia )na home affairs (uraia &immigrations),hizo cctv ni Blah na unatafutwa mlango wa kuniibia tena pesa yangu, NIDA unahangaika nayo mpaka leo na sasa unaniongopea na hii facial identification camera!!,leta kwanza digital IDs !!,binafsi sio kihiyo
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023.



Ufungaji wa kamera za Ulinzi
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi limekamilisha mradi wa ujenzi wa mji salama utakaotumia kamera zenye mfumo wa utambuzi wa Sura.

Katika awamu ya kwanza, kamera hizo zitafungwa Katika mkoa wa Arusha, Dar es salaam na Dodoma. Hii ni sehemu ya kuongeza nguvu katika kubaini na kuzuia vitendo vya kihalifu nchini.

Hali ya Magereza Nchini
Akizungumzia hali ya magereza nchini, Waziri Masauni amesema hadi Mei 2023, jumla ya wahalifu 30,901 walikuwepo kwenye magereza yote nchini ambapo wafungwa wapo 18,887 na mahabusu 12,014.

Pia, Utekelezaji wa adhabu Mbadala umekuwa unafanyika ambapo wafungwa wenye kifungo cha nje wapo 780 na waliohukumiwa kutumika vifungo vyao kwa kutoa huduma kwa jamii wakiwa 3,719.

Matukio 14,184 ya ukatili wa kijinsia yameripotiwa Polisi
Kutoka Julai 2022 hadi Mei 2023, jumla ya mashauri 14,184 ya matukio ya ukatili wa kijinsia na Watoto yalitolewa taarifa katika vituo va Polisi ikilinganishwa na matukio 12,642 yaliyotokea kipindi kama hicho mwaka uliopita.

Matukio ya Ajali za Barabani ni 1,283
Hali ya usalama barabarani imeimarika kutokana na Jeshi la Polisi kusimamia Sheria za Usalama Barabarani.

Amesema “Katika kipindi cha Julai 22, 2022 hadi Mei 23, 2023 matukio ya ajali yalikuwa 1,283 tofauti na mwaka mmoja uliopita ambapo yalikuwa 1,731, hivyo yamepungua kwa 25.9% sababu ikiwa ni kuimarika kwa usimamizi wa Sheria, kufanyika kwa oparesheni maalum Nchi nzima na elimu kutolewa kwa makundi yote.”

Waziri Masauni: Magereza yote nchini yana wahalifu 30,901
Akizungumzia hali ya magereza Nchini, Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema hadi Mei 2023, jumla ya Wahalifu 30,901 walikuwepo kwenye magereza yote, kati yao wafungwa ni 18,887 na mahabusu ni 12,044.

Amesema utekelezaji wa adhabu mbadala umekuwa unafanyika ambapo wafungwa wenye kifungo cha nje wapo 780 na waliohukumiwa kutoa huduma kwa jamii ni 3,719, ameeleza kipindi kama hiki kwa Mwaka 2021/22 kulikuwa na Wahalifu 32,671 gerezani
Mradi wa kupiga mabilioni kama kawaida yao nzi wa kijani
 
Back
Top Bottom