Miaghay
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 1,535
- 488
Unajuaje kaibiwa? labda huyu ndo mwizi mwenyewe, au ni ndugu wa mwizi!Umerogwa? Hivi kosa la gazeti hapo ni lipi? Uloibiwa ni wewe, gazeti linakujulisha tu wizi huo ulifanyikaje. Badala ya kuchukizwa na wizi huo na wezi hao, wachukizwa na gazeti. Grow up!
labda watumie nguvu,kisheria hawatashinda,mtu akinunua hisa za kampuni ikavuka asilimia 50,maana yake yeye ndo anacontrol kampuni,pawepo akidi ama pasiwepo akidiKama yanayosemwa ni kweli ni wakati sasa wa ukawa kwenda mahakamani,ili uda iludi mikononi mwa jiji.wakishindwa kui rudisha uda mikononi mwa jiji nitaanza kutilia mashaka uwezo wao.maana kutuhumiana tu sasa imetosha ni wakati wa kuchukua hatua ziwe za kisiasa au za kisheria.
labda watumie nguvu,kisheria hawatashinda,mtu akinunua hisa za kampuni ikavuka asilimia 50,maana yake yeye ndo anacontrol kampuni,pawepo akidi ama pasiwepo akidiKama yanayosemwa ni kweli ni wakati sasa wa ukawa kwenda mahakamani,ili uda iludi mikononi mwa jiji.wakishindwa kui rudisha uda mikononi mwa jiji nitaanza kutilia mashaka uwezo wao.maana kutuhumiana tu sasa imetosha ni wakati wa kuchukua hatua ziwe za kisiasa au za kisheria.
labda watumie nguvu,kisheria hawatashinda,mtu akinunua hisa za kampuni ikavuka asilimia 50,maana yake yeye ndo anacontrol kampuni,pawepo akidi ama pasiwepo akidi
kama ndivyo tushaliwa mazimaaa, ila hawajamaaa ni noma aiseee.suluhisho ni nini?labda watumie nguvu,kisheria hawatashinda,mtu akinunua hisa za kampuni ikavuka asilimia 50,maana yake yeye ndo anacontrol kampuni,pawepo akidi ama pasiwepo akidi