mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,617
- 4,908
Kikwete kweli ni jipu linalostahili kutumbuliwa tena haraka kabla halija athiri wananchi zaidi.
Nachotaka kuongezeka ni kuwa wao wenyewe wanachofanya ni kuendeleza tuhuma tu kwa watu wengine! Basi na ukawa na hili gazeti lao kama wanaushahidi ni zamu yao kutangulia mahakamani!Sitaki kutetea Simon Group kwa sababu ni majizi na wanatakiwa wawe mahakamani.
Kinachoshangaza ni baadhi ya watu hapa Jamiiforums wanataka kutuaminisha ni wazalendo lakini hawana lolote. Hao ni wanafiki wanaojificha katika kichaka cha ujinga na usahaulifu wa Watanzania.
Kwa sasa ukimgusa Lowassa wanakuambia peleka ushahidi lakini wakati wao wanamgusa huyo huyo Lowassa mpaka kumuweka kwenye list of shame walikuwa hawataki kusikia neno peleka ushahidi.
Wamiliki wa gazeti la Mwanahalisi wametajirika kwa sababu ya kuandika habari/makala za ufisadi wa Lowassa na genge lake.
Leo hii wanataka tena kutajirika kwa kuandika makala za kumsafisha Lowassa na genge lake.
Tunaambiwa na Mwanahalisi kuwa, Lowassa na genge lake ndiyo wanafaa kusimamia maslahi ya nchi huku wakimsafisha bila ushahidi!
Kundi la wanafiki lipo nyuma ya Mwanahalisi likipiga vigelegele na nderemo!
Naona amelitumia hilo neno sawa sawa.Unafahamu maana ya Pathetic au unaandika tu ili uonekane umeandika neno la kiingereza? Angalia usije ukaonekana mjinga.
Wewe utaona vipi tofauti wakati akili na fikra zako hazitofautiani na zake.Naona amelitumia hilo neno sawa sawa.
Ndio maana nika address neno pathetic peke yake. Hayo mengine ni ya kwenu! Labda sio neno zuri sana kulitumia lakini kwa jinsi alivyolitumia ni sawa sawa. Watu tuache kuwa sensitive kwenye masuala ya lugha.Wewe utaona vipi tofauti wakati akili na fikra zako hazitofautiani na zake.
Birds of a feather flock together!
Nyie ni majizi wakubwa na mtawakoma ukawaunajua ukiwa na elimu ya kuungaunga ya media inasumbua sana ni bora ipelekwe sheria ya habari bungeni ili chekecheke lipitie wenye elimu ya habari(makanjania) waumbuke
sio mnyika aliyesema anaushahidi tosha??Haya maswali inabidi umuulize mwakyembe na sitta ndio wanajua ukweli wote
Na maendeleo tutayasikia Ethiopia kama rushwa & wizi vitashika hatamu kwenye Mashirika ya Umma.Kwasasa tunataka habari za maendeleo habari udaku zimepitwa na wakati kacheze na watoto wenzako huko.
tatizo huyu kubenea yuko very unproffesional,yaani ana bifu za binafsi,personal beef kwenye mambo ya msingi hayasaidii.Yaani kubenea na toilet paper yake asipoiandika vby familia ya Jk hajiskii kabisa! Akiambiwa athibitishe kama wanahisa hawezi! Habar za umbeaumbea tu!poyoyo sana