FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Ni wanahisa huko simon group...pi vibaka hawa wanatakiwa kuchomwa moto.....mara moja
Usisahau Dau ana hisa New Castle.
Hizo hisa ngapi ngapi?
Ni wanahisa huko simon group...pi vibaka hawa wanatakiwa kuchomwa moto.....mara moja
Heee !. Inaonekana jipu lililoota sehemu za siri limepapaswa mbona umeruka juu na kupiga mayowe mpaka mtaa mzima tumesikia. Teh teh teheeeeee!
Ukawa ndo walalamikaji, unategemea nini hapo?Kuna kesi yeyote kuhusu richmond ambayo amefunguliwa lowassa?
tatizo huyu kubenea yuko very unproffesional,yaani ana bifu za binafsi,personal beef kwenye mambo ya msingi hayasaidii.
Makampuni duniani kote yana underperform nakuwa takenover na makampuni mengine regardless lilikua kampuni la umma ama la binafsi,
kule russia tumeshuhudia makampuni makubwa ya serikali yaliunderperfom na kuuzwa kwa makampuni binafsi na yakafanya vizuri.
Badala ya kung'ang'ania kulaumu watu binafsi kwa malengo ya kisiasa,angestick kwenye figure na taratibu zipi zimekiukwa na kwa ushahidi upi,ama kama vipi si mahakama zipo,afungue kesi ya kudai UDA irudi,
umeonaeh,yaani jina lenyewe la mwandishi limekaa ki LY LY sana,usikute hata certifcate ya uandishi hana huyu binti,Mwandishi Aliyeandika ni Pendo Omary? ngoja nipite zangu
Sitaki kutetea Simon Group kwa sababu ni majizi na wanatakiwa wawe mahakamani.
Kinachoshangaza ni baadhi ya watu hapa Jamiiforums wanataka kutuaminisha ni wazalendo lakini hawana lolote. Hao ni wanafiki wanaojificha katika kichaka cha ujinga na usahaulifu wa Watanzania.
Kwa sasa ukimgusa Lowassa wanakuambia peleka ushahidi lakini wakati wao wanamgusa huyo huyo Lowassa mpaka kumuweka kwenye list of shame walikuwa hawataki kusikia neno peleka ushahidi.
Wamiliki wa gazeti la Mwanahalisi wametajirika kwa sababu ya kuandika habari/makala za ufisadi wa Lowassa na genge lake.
Leo hii wanataka tena kutajirika kwa kuandika makala za kumsafisha Lowassa na genge lake.
Tunaambiwa na Mwanahalisi kuwa, Lowassa na genge lake ndiyo wanafaa kusimamia maslahi ya nchi huku wakimsafisha bila ushahidi!
Kundi la wanafiki lipo nyuma ya Mwanahalisi likipiga vigelegele na nderemo!
Kimberly almashauri ya jiji ni wadaku eeehh!! Vipi kuhusu CAG nae habari zake ni za kidaku??Kwasasa tunataka habari za maendeleo habari udaku zimepitwa na wakati kacheze na watoto wenzako huko.
Vipi kuhusu pendekezo la CAG unaliongeleaje hilo?Nachotaka kuongezeka ni kuwa wao wenyewe wanachofanya ni kuendeleza tuhuma tu kwa watu wengine! Basi na ukawa na hili gazeti lao kama wanaushahidi ni zamu yao kutangulia mahakamani!
Kwanini kubenea na halmashauri ya jiji wanaloliongoza hawaendi mahakamani kuwashtaki riz1 na Mama yake? Au wamekosa ushahidi wa hizi tuhuma zao?
YAANIKWE NA YATUMBULIWE TUU. MIJIZI KILA SEHEM INAIBA HAINA HATA KIASI. LOOTERS
Wewe ulitakaje? Waache kwa sababu wana uhusiano Na Lowassa?This is entangled wanamtandao affairs!
Wanapomkaanga Ridhiwani, Salma na Kapuya, ni sawa na kumkaanga Lowassa kwa sababu Kapuya ni mtu ambaye waingereza wanasema, He is Lowassa's right-hand man.
MASHEKHE wapatao 50 kutoka Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, leo wamemkabidhi Lowassa kiasi cha shilingi 700,000/- za kuongezea kuchukua fomu ya kuwania Urais 2015. Mashekhe hao wakiongozwa na Yusuf Surulu (kulia kwenye picha juu) na Alli Mtumwa (wapili kulia) wamemkabidhi fedha hizo nyumbani kwake mjini Dodoma na kushuhudiwa na Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof Juma Kapuya.