Halmashauri ya Jiji la Dar yawakaanga Ridhwani, Mama Salma

Kweli wewe una akili za kushikiwa hii habari haina uhusiano wowote na Lowassa au Sumaye ukitaka kuanzisha uzi wa kuwahusu hakuna aliyekuzuia. Acha tabia za kukurupuka na kuandika ujinga.

hili gazeti si ndio lile lile lilikuwa likitaka Lowass ma kina Sumaye na wengine ni mafisadi papa.baadae wakabadili gia angani kwa maslahi yao binafsi wakaamua kuwasafisha. gazeti hilihili likaanza propaganda za kuwasafisha utafikiri wao ni vyombo vya dola vya uchunguzi. wakalamba walizolamba biashara ikaishia hapo. leo wanatakaje tuwaamini tena. labda ipite miaka 50 mingine ya uhuru. kama wana ushahidi wakimbilie mahakamani wasituhusishe na maujinga yao. watu wanajitambua sasa hatutaki uhuni wao. watu sssa hivi wako busy na kazi tu.
 
Angalia mwingine huyu! Habari inahusu UDA yeye kaandika madudu ambayo hayana hata chembe kuhusiana na uzi husika. Acheni kukurupuka na kuandika yasiyohusu kitu.

Kwani wewe unaamini nini ndugu au ungependa watu wote waamini nini? Niaminivyo mimi ni kuwa ni sahihi zaidi kusikiliza pande mbili ili uweze kubalance story, kusikiliza upande mmoja daima unaweza ukawa biased. Simtetei Lowasa wala sisemi hana kosa au si fisadi, ila UKAWA/CDM walimsikiliza Lowasa wakaweza kubalance story tofauti na walivyoamini mwanzo kuwa kadhia yote ya Richmond ilimuhusu yeye, kumbe kuna kinara wa hilo zengwe.
Tena basi mbele ya kadamnasi Mbowe alielezea kuwa Lowasa ametubu na kukiri alipokosea na akakubali pia kuishi sawasawa na sera za CDM. Mtu huwa hasamehewi? Poa uchaguzi umekwisha tuganye yajayo huku tukitoa support kwa rais aliye madarakani maana bila support hataweza ukizingatia system ya CCM inavyo operate. Uongo na ushabiki wa kichama au kikanda haufai, hatutajenga nchi, tutazidi kubomoa
 
Kwa Wapumbavu kama wewe huu ni uozo kwa sababu unawamulika mafisadi waliokwapua UDA kwa kutumia wadhifa wao lakini kwa wale wenye mapenzi na Tanzania na wanaochukia ufisadi uliokithiri nchini habari hii imekuja wakati muafaka ili kuhakikisha UDA inarudishwa chini ya mamlaka husika, majizi na mafisadi ya UDA yanaanikwa hadharani ili tuone kama TAKUKURU itathubutu kuwagusa au ndiyo yatakuwa yale yale ya kuwaogopa mafisadi maana wakiguswa basi nchi itawaka moto.

Mkuu, labda na yeye ni mmoja wa ma-stakeholders wa Kampuni, aingii akilini MTU mwenye akili timamu kutetea uozo kama huo.
 
Msome na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali huyu si darasa la saba shule imepanda sana na kaanika UOZO wote hadharani wa hawa mafisadi.

Na kampuni ikishakuwa na hisa halafu ziwe sokoni,unaweza leo ukawa majority shareholder,kesho ukawa hauna control ya kampuni kama share zako zinapungua,
sijui hizi share za UDa Zimeuzwaje,lakini SIMON GROUP sio wajinga wainvest mabilioni yao katika UDA ili baadae Uda ichukuliwe,lazima wameangalia kama sheria iko upande wao ama vipi,sasa huyu mhitimu wa darasa la saba pamoja na elimu za hapa na pale ngoja tuone hii gemu atafika nayo wapi...
Hii Game haitaki hasira
 
Acha kukurupuka wewe, hujui mwanahalisi nini? Sasa umefuata nini kwenye huu uzi? Kama huna la maana la kuchangia kaa kimya badala ya kukurupuka. Nenda kasome magazeti ya kufungia maandazi.

mwanahalisi ni kitu gan wewe? we jenga hoja mwanahalisi ni watu tu kama wewe hofu yako nn? hapa hatujadili mwanahalis tunajadili uwiz wa uda we unawatoa watu ktk wizi unakimbilia mwanahalis, upo sawa kwel wewe?
 
Sitaki kutetea Simon Group kwa sababu ni majizi na wanatakiwa wawe mahakamani.

Kinachoshangaza ni baadhi ya watu hapa Jamiiforums wanataka kutuaminisha ni wazalendo lakini hawana lolote. Hao ni wanafiki wanaojificha katika kichaka cha ujinga na usahaulifu wa Watanzania.

Kwa sasa ukimgusa Lowassa wanakuambia peleka ushahidi mahakamani lakini wakati na wao walimgusa huyo huyo Lowassa mpaka kumuweka kwenye list of shame wakiwa hawataki kusikia neno peleka ushahidimahakamani.

Wamiliki wa gazeti la Mwanahalisi wametajirika kwa sababu ya kuandika habari/makala za ufisadi wa Lowassa na genge lake.

Leo hii wanataka tena kutajirika kwa kuandika makala za kumsafisha Lowassa na genge lake.

Kwa sasa tunaambiwa na Mwanahalisi kuwa, Lowassa na genge lake ndiyo wanafaa kusimamia maslahi ya nchi huku wakimsafisha bila ushahidi!

Kundi la wanafiki lipo nyuma ya Mwanahalisi likipiga vigelegele na nderemo!

Mwanahalisi limepotea kitambo,sahivi udaku tupu!
 
Kampuni inaweza uzwa hata kwa shilingi 100 kama wauzaji wanaamua kuuza.simon group yeye ni mnunuaji tu,
hii story inatakiwa mtu kuifuatilia nyuma kuanzia genesis ya harakati za kuiuza uda,
ijulikane kabla haijauzwa ilikua na asset zipi na kwanini waliuza kwa bei ndogo,au kwanini bei ya hisa ilishuka.
Pia ieleweka bei za hisa hushuka na kupanda kufuatana na namna kampuni inavyoperform.

Mfano hisa leo inaweza kuwa tsh 1000,kesho ikabadilika na kuwa tsh 500,kwamaana hiyo thamani ya kampuni husika inakuwa imedrop,
ni kawaida katika biashara
 
Acha kukurupuka, baadhi yetu humu hii habari tunaijua kwa siku nyingi na hata mtu ambaye haijui habari hii akiisoma ataelewa kuna wizi mkubwa umefanyika. Hata muuza maandazi hawezi kukupa maandazi yake kwa kulipa thamani ya 24% badala ya 100% sembuse shirika kubwa lililokuwa na mali zenye thamani ya mabilioni. Soma uelewe habari husika badala ya kukurupuka na kutaka kuhalalisha wizi mkubwa.

Kampuni inaweza uzwa hata kwa shilingi 100 kama wauzaji wanaamua kuuza.simon group yeye ni mnunuaji tu,
hii story inatakiwa mtu kuifuatilia nyuma kuanzia genesis ya harakati za kuiuza uda,
ijulikane kabla haijauzwa ilikua na asset zipi na kwanini waliuza kwa bei ndogo,au kwanini bei ya hisa ilishuka.
Pia ieleweka bei za hisa hushuka na kupanda kufuatana na namna kampuni inavyoperform.

Mfano hisa leo inaweza kuwa tsh 1000,kesho ikabadilika na kuwa tsh 500,kwamaana hiyo thamani ya kampuni husika inakuwa imedrop,
ni kawaida katika biashara
 
Unafahamu maana ya Pathetic au unaandika tu ili uonekane umeandika neno la kiingereza? Angalia usije ukaonekana mjinga.

Wewe unadhani kama siyo genge la wanamtandao haya matatizo ya UDA yangekuwepo?

Wewe unadhani kama siyo waanzilishi wa wanamtandao kufarakana, hizi kelele za UDA ungezisikia?

Mimi ninaangalia chimbuko la tatizo la UDA, wewe unaleta hoja ya matokeo ya tatizo.

Yes, Lowassa ni chimbuko la ufisadi wa UDA.

Lowassa hasafishiki kwenye hizi dili kubwa kubwa za ufisadi yumo hili halina shaka. Haya mnayoyaita majipu kama yataendelea kutumbuliwa bila kuangalia anayetumbuliwa ni nani, basi huyu mamvi hachomoki na huu nd'o utakuwa mwanzo wa yeye kuanza kuanguka kwenye majukwaa mwisho wa siku tutampoteza kwa kifo cha gafula kama tulivyompoteza ndugu yetu Papa Wemba, R.I.P Papa, tutaikumbuka sauti yako nzuri!
 
Vipi kuhusu pendekezo la CAG unaliongeleaje hilo?
Kweli nimeamini mtanzania ukitaka kunyonya vizuri mkaririshe kwamba Mtu wa champ chetu hata akiiba mtete even till the last drop of your blood.
Hapo utamuibia kiulainii..yeye atakazana kutetea tu.
Hiyo ni typical feature ya CHADEMA!
Ref. 1
  • 2005-2015: List of shame; Lowasa fisadi (hawakuleta ushahidi) vs
  • Uchaguzi 2015-todate ; shujaa (mwenye ushahidi kuwa fisadi alete)
Ref.2
  • 2005-2015: Slaa ni raisi bora, mzalendo, na watanzania wanamuamini vs
  • 2015 to date: Msaliti, hawezi kupendwa na kuaminiwa kama Lowasa
Unaweza kurefer watu wengi wwanaoingia na kutoka CHADEMA tutakuja kugundua tu utetezi wanaoupata wakiwa ndani na kashfa wazipatazo wakitoka!
Aina hii ya thinking ya chadema inafanya usitilie maanani kesi zao, shutuma ni nyingi kuliko kuwa na ushahidi kwa kesi zinazopaswa kupelekwa kwa pilato!
 
Sitaki kutetea Simon Group kwa sababu ni majizi na wanatakiwa wawe mahakamani.

Kinachoshangaza ni baadhi ya watu hapa Jamiiforums wanataka kutuaminisha ni wazalendo lakini hawana lolote. Hao ni wanafiki wanaojificha katika kichaka cha ujinga na usahaulifu wa Watanzania.

Kwa sasa ukimgusa Lowassa wanakuambia peleka ushahidi mahakamani lakini wakati na wao walimgusa huyo huyo Lowassa mpaka kumuweka kwenye list of shame wakiwa hawataki kusikia neno peleka ushahidimahakamani.

Wamiliki wa gazeti la Mwanahalisi wametajirika kwa sababu ya kuandika habari/makala za ufisadi wa Lowassa na genge lake.

Leo hii wanataka tena kutajirika kwa kuandika makala za kumsafisha Lowassa na genge lake.

Kwa sasa tunaambiwa na Mwanahalisi kuwa, Lowassa na genge lake ndiyo wanafaa kusimamia maslahi ya nchi huku wakimsafisha bila ushahidi!

Kundi la wanafiki lipo nyuma ya Mwanahalisi likipiga vigelegele na nderemo!
Hapa hazungumziwi Lowasa na wala sio mada hiyo.
Mada suala la UDA na wanajiita wamiliki, hao kina Simon group na vibaraka wake.
Twende kwenye mada, au ndio nyinyi kina simon group mmeguswa nini?
 
Kampuni ya Kapuya (swahiba wa Lowassa) ndo inayoosha magari yote ya UDA kwa Sh 140,000/- kila wiki kwa kila gari.
Kapuya ni mwanachama Wa ccm . je ni sawasawa ccm kuwa na mwanachama mwenye ushirikiano na kampuni ya kifisadi!?
 
Kama wewe sio Kisena bila shaka utakuwa dereva Wa UDa. Sasa kamwambie Kisena kuwa kama yule lofa mpumbavu alivyoitema Kiwira na yeye ni suala la muda tu kabla hajaitema UDA. Majambazi wakubwa nyie. Ila asihofu hiyo migari yenu mutaanzishiwa njia mpya ya upendeleo ya Mbezi Kibaha mtakwenda huko kama walivyowapendela njia ya Nazi Mmoja Kivukoni. Kwa hiyo usihofu Ndugu ajira yako iko pale pale labda kama bosi wako aamue vinginevyo.
mimi ni Tingo wa uda,nna hakika kisena kuitema UDA ,labda auze hisa zake,tofauti na hapo mnapoteza mda tu,
mahakama si wajinga kuamua walivyoamua,
serikali iliuza share zake kwa huyo msukuma kwa kupenda yenyewe na hawakulazimishwa na mtu,serikali bado inazo hisa katika kampuni hiyo tofauti na watu wanavyotaka kutuaminisha hapa,japo simon group wana hisa above 51% zinazowapa haki ya kucontrol UDA
 
Kama wewe sio Kisena bila shaka utakuwa dereva Wa UDa. Sasa kamwambie Kisena kuwa kama yule lofa mpumbavu alivyoitema Kiwira na yeye ni suala la muda tu kabla hajaitema UDA. Majambazi wakubwa nyie. Ila asihofu hiyo migari yenu mutaanzishiwa njia mpya ya upendeleo ya Mbezi Kibaha mtakwenda huko kama walivyowapendela njia ya Nazi Mmoja Kivukoni. Kwa hiyo usihofu Ndugu ajira yako iko pale pale labda kama bosi wako aamue vinginevyo.
mimi ni Tingo wa uda,nna hakika kisena kuitema UDA ,labda auze hisa zake,tofauti na hapo mnapoteza mda tu,
mahakama si wajinga kuamua walivyoamua,
serikali iliuza share zake kwa huyo msukuma kwa kupenda yenyewe na hawakulazimishwa na mtu,serikali bado inazo hisa katika kampuni hiyo tofauti na watu wanavyotaka kutuaminisha hapa,japo simon group wana hisa above 51% zinazowapa haki ya kucontrol UDA
 
"Jiji la Dar es Salaam limeshindwa kutambua thamani ya sasa ya hisa 3,631,046 zinazomilikiwa katika Shirika la Usafirishaji
Dar es Salaam (UDA) ambazo zilinunuliwa mwezi Oktoba, 2000 kwa Sh.363,104,600."
 
Back
Top Bottom