Halima Mdee: Bawacha vitoto vya juzi

Hayo maneno aliyosema Mdee hata kama yanakera lakini yana ukweli ndani yake, nikikumbuka lile sakata lao lilivyoanza, wapo watoto wa Bawacha kule twitter walimpachika Mdee majina kibao ya hovyo, siku hizi naona wameanza kupoa, sijui wameona dalili gani.

Naona Mdee ndio anaanza kufunguka, sijui nae hizo nguvu na confidence anavitoa wapi...
 
...ndiyo maana tunaendelea kumlilia JPM kwa sababu wajinga wajinga kama hao alikuwa akimalizana nao kwa utaratibu kama unaoutamani.
Kuna wakati JPM alikua sahihi sana kulala mbele na watu, hii nchi bila kutumia nguvu watu hawakuelewi kabisa unachosema.
 
Wenye pesa hawajitetei sana kwanza muda huo hawana


sijui familia ya kati sijui ya Pembeni achana na hizo

comments zako humu zingetosha kabisa kujua kama mi familia ya kati au ya pembeni
sijawahi kusema ni familia nzuri , naona umeishiwa hoja nilikufafanulia tu ili usidhani wote ndo akina nyie ukishapokea ka mshahara unatumia ka wifi cha bure basi unajifanya unataka kuchangia kila jamabo hata kama huna hoja , umekwama knye facts unahamia knye personalities sasa
 
Maridhiano yanampa confidence kuwa watarudishiwa uanachama wao.
Kama maridhiano kati ya CCM na Chadema yatafikia stage ya kuingilia maamuzi ya vikao vya ndani vya Chadema, hapo nitaona kuna tatizo.

Lakini pia kwa hizo kauli anazotumia Mdee, sijui anajitengenezea mazingira gani kama ikitokea siku akarudi Chadema, sijui atakaa vipi meza moja na hivyo vitoto vya juzi.
 
Busara. Chadema iwasamehe tu kwa kuwa hata hao CCM na rais uchaguzi uliowaingiza mamlakani ulilalamikiwa kuwa hakukuwepo uchaguzi bali uchafuzi. Chadema mnachelewa kuwasamehe na kuwaleta kwenye kazi/harakati. Wasamehewe tu maana hata leo hao hawajaukana Chadema. Mimi nasifu maana walipambana na ubunge walishinda lakini waziwazi wakapolwa! Wangefanyaje na wangeishije na walitumia hela nyingi kwenye kampeni! Mimi nashauri kila aliye kuwa Chadema wamsamehe wote warudi Chadema maana umoja ni nguvu.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom