Tunaangalia upande mmoja tu kuwa mtu aliyependwa sana kafa. Amekufaje? Kwenye mazingira ya zinaa........... na kabinti kadooogo.
Kimsingi, yule dada atakapoachiwa huru, tutaomba kibali cha mahakama cha kufukua maiti ya mbakaji na kisha kuichapa viboko.
Tukichelewa tu...... watamtangaza mwenye heri........
Kweli towashi ww km jina lako na mawazo yako ya kiseng* tu!