Hali yachafuka singida mjini.

hii minjemba tatizo lao ni kukosa akili tu, me nadhani ni muda muafaka wetu tunaoitwa makafir kunyanyuka na kuwaonesha hao wapagani kuwa hawana dini na kuwa hakuna dini nje ya utatu mtakatifu!
 
hii minjemba tatizo lao ni kukosa akili tu, me nadhani ni muda muafaka wetu tunaoitwa makafir kunyanyuka na kuwaonesha hao wapagani kuwa hawana dini na kuwa hakuna dini nje ya utatu mtakatifu!

patakuwa patamu hapo, nadhani baada ya hapo tutaheshimiana maaana sasa hivi heshima hakuna kila mtu ana ndevu kama kambare.
 
Magaidi wote ni waaisilamu japo sijapata ushahidi wa kufungamanisha uislam na ugaidi. Mara zote ninapowakuta waislama katika mkutano wa hadhara ama wawe wanaipinga biblia kwa kubishana na wakristo au wanapepeta siasa kwa kukodiwa na chama fulani cha kisiasa. Hivi kitabu chao hakihubiriki kwa upendo kuwavuta waamini wapya kama wanavyofanya dini nyingine?
Kitendo cha cha kuruhusu kundi la dini fulani kuhubiri siasa cha chuki dhidi ya watu wengene matika jamii ile ile kwa tofauti za dini zao ni dalili wazi za kukosa uhalali wa serikali husika kuongoza nchi.
Kama hayo ya singida ni kweli, basi mkuu wa dola hana budi kujiuzulu mara moja, kabla hajapelekea taifa kuparaganyika.
.
 
Hali inaelekea kuchafuka hapa Singida mjini kutokana na muhadhara ambao umeanza tangu majira ya saa nne asubuhi na hutuba kutolewa na Mashekhe na Maimamu maarufu kutoka ZNZ na DSM.
Katika hutuba Mashekhe wameeleza ukweli wa Chadema na maaskofu pamoja na jinsi wanataka kuharibu amani ya nchi .
pia umuhimu wa waislamu kutoshiriki maandamano ya Chadema Kwani lengo lao ni kumwondoa muislamu na kumweka askofu Slaa.
pia wameeleza jinsi ambavyo MKAPA ndio chanzo cha matatizo yote ila wakristo wakiongozwa na Slaa walikaa kimya.
Wakristo wanaotoka makanisani wanaonekana kukerwa na ukweli huu na wanataka kuuvuruga muhadhara wetu. Takbir!
Kuna kazi kubwa 2015.
 
hii minjemba tatizo lao ni kukosa akili tu, me nadhani ni muda muafaka wetu tunaoitwa makafir kunyanyuka na kuwaonesha hao wapagani kuwa hawana dini na kuwa hakuna dini nje ya utatu mtakatifu!
Tunapenda amani!Ila wakitaka kuzileta nadhani litakuwa jambo la mbolea wakipata kipondo kilichoenda shule!
 
unajua wafuasi wa cuf wote wameamia ccm ndio maana izo issue za udini zimeanza kurindima kipindi kile cha ben masheikh wote walikuwa wanaipigia chapuo cuf sasa baada ya kuona cuf inapoteza mwelekeo wakakimbilia kwa mkwele kwani tulizikamata message zao zikisema msimchaguo huyo ni adui wa islam mkishindwa kumpa lipumba basi mpeni mkwere

Well said bro.
Rais anapokua Mkristo CUF inapata sapoti kubwa sana kutoka kwa mashekhe na maimamu. Rais anapokua Muislam mashekhe wanakimbilia CCM: ndio hali ilivo sasa.
 
2015 CCM watamweka kafri kugombea urais, mashehe mtahamia chama gani? Tatizo la mashehe ni elimu 0 ndo maana wanagezwa kama majuha
 
Tatizo kubwa linalowasibu masheikh na maimamu wetu ni njaa nina hakika wanatumiwa lakini wapaswa kufahamu kwamba matatizo yanayozungumzwa na chadema hayawahusu wakristu peke yao. Wanaposema waislamu wasiunge mkono maandamano ya chadema wanamaanisha waislamu hawaguswi na matatizo hayo? Ni waislamu wachache ambao hawajaenda shule kama hao ma sheikh ndio watawasikiliza. Nashangaa kwani vyombo vya dola haviko hapo kwenye muhadhara kuwachukulia hatua wachochezi hao? Maana naami huo ndio uchochezi mkubwa wa kuvuruga amani kuliko wanavyoyafikiria maandamano ya chadema.

...na ELIMU.

 
Hivi kafiri ni nani? ana sifa gani? maana kama kafri ni mkristu kwa nini tusimwite mkristu ila tunambatiza jina lingine. Nielewesheni maana zaidi ya jina au neno kafir
 
Naungana na wanafalisafa wanaoamini kufananisha dini na ulevi!
Hivi usafi na ujasiri wa mwislamu kuita watanzania makafiri wanautoa wapi?
Mi naomba niseme kwamba wametumwa na Ccm kupitia ndoa ya Cuf na Ccm huko Znr!
Waislam kama mumeamua kukumbatia mwozo wa Ccm kuhusisha udini basi nyie ni zaidi ya makafiri wenye madhaifu na mapungufu makubwa yanayoweza kuhatarisha amani ya Watanzania!
Kuran tukufu inasema Kemea uovu kwa nguvu zote! Nando wafanyacho CDM! Mnataka haki sawa nyie mmekuwa wanawake? Fanyeni kazi tuwakubali!
Mungu tuepushe na hii balaa!
 
Hali inaelekea kuchafuka hapa Singida mjini kutokana na muhadhara ambao umeanza tangu majira ya saa nne asubuhi na hutuba kutolewa na Mashekhe na Maimamu maarufu kutoka ZNZ na DSM.
Katika hutuba Mashekhe wameeleza ukweli wa Chadema na maaskofu pamoja na jinsi wanataka kuharibu amani ya nchi .
pia umuhimu wa waislamu kutoshiriki maandamano ya Chadema Kwani lengo lao ni kumwondoa muislamu na kumweka askofu Slaa.
pia wameeleza jinsi ambavyo MKAPA ndio chanzo cha matatizo yote ila wakristo wakiongozwa na Slaa walikaa kimya.
Wakristo wanaotoka makanisani wanaonekana kukerwa na ukweli huu na wanataka kuuvuruga muhadhara wetu. Takbir!


Huku ni kutapa tapa na kama serikali iko fair katika statement zake basi huku ndiko kunakoitwa kuchochea vurugu na siyo maandamano ya CHADEMA.
Ukweli unaozungumzia sijauona hapa acha na wewe ushabiki na fungua akili yako na get out of the box of religious fanaticism
 
mnnnh wametoke wapy tena hawa watu.....................ndo udini wenyewe wanaokemea au wantaka kutangaza machafuko?
 
Hali inaelekea kuchafuka hapa Singida mjini kutokana na muhadhara ambao umeanza tangu majira ya saa nne asubuhi na hutuba kutolewa na Mashekhe na Maimamu maarufu kutoka ZNZ na DSM.
Katika hutuba Mashekhe wameeleza ukweli wa Chadema na maaskofu pamoja na jinsi wanataka kuharibu amani ya nchi .
pia umuhimu wa waislamu kutoshiriki maandamano ya Chadema Kwani lengo lao ni kumwondoa muislamu na kumweka askofu Slaa.
pia wameeleza jinsi ambavyo MKAPA ndio chanzo cha matatizo yote ila wakristo wakiongozwa na Slaa walikaa kimya.
Wakristo wanaotoka makanisani wanaonekana kukerwa na ukweli huu na wanataka kuuvuruga muhadhara wetu. Takbir!

Wakumbuke List of Shame.................Mkapa na wakristo wengine walikuwepo.

Kweli elimu duni inaua.
 
mpende adui yako kama unayo jipenda,mpende jirani yako kama unavyo jipeda hii ndio siri ya amani baina ya wakristo plz wairslam naomba muiige.
 
hii minjemba tatizo lao ni kukosa akili tu, me nadhani ni muda muafaka wetu tunaoitwa makafir kunyanyuka na kuwaonesha hao wapagani kuwa hawana dini na kuwa hakuna dini nje ya utatu mtakatifu!

WAKIRISTO HAMNA HISTORIA HIYO, HAMUWEZI KITU. Kumbuka waislam ndo walimtoa mkoloni aliyekuwa akicheza dansi makanisani na kutunyonya.
 
huu ni upuuz tena wa hali ya juu, tunapozungumzia suala la maslah ya watanzania halafu mtu mjinga mjinga anakuja na kuingiza masuuala ya udini, mm ni mwislamu lakin nasema hao mashekhe ni washenzi na walaaniwe na watu wa singida waliwachelewesha wangewashikisha adabu, wangewachapa bakora nying sana, wapuuiz sana hao, watakuwa wametumwa na mashetan... pumbavu kabisa
 
Chondechonde sisi tulio kati ya uislamu na ukristo tunaomba tuache malumbano ya kidini hayana msingi na yatadumaza maendeleo ya nchi yetu napenda mtambue vita vikitokea watu wote mtapata madhara na nadhani si tu wakristo na waislamu au maskini na tajiri bali taifa kwa ujumla.


MUNGU IBARIKI TANZANIA TAIFA LILILOJENGWA KWA UMOJA LINAELEKEA KUSAMBARATIKA
 
Back
Top Bottom