hii minjemba tatizo lao ni kukosa akili tu, me nadhani ni muda muafaka wetu tunaoitwa makafir kunyanyuka na kuwaonesha hao wapagani kuwa hawana dini na kuwa hakuna dini nje ya utatu mtakatifu!
Kuna kazi kubwa 2015.Hali inaelekea kuchafuka hapa Singida mjini kutokana na muhadhara ambao umeanza tangu majira ya saa nne asubuhi na hutuba kutolewa na Mashekhe na Maimamu maarufu kutoka ZNZ na DSM.
Katika hutuba Mashekhe wameeleza ukweli wa Chadema na maaskofu pamoja na jinsi wanataka kuharibu amani ya nchi .
pia umuhimu wa waislamu kutoshiriki maandamano ya Chadema Kwani lengo lao ni kumwondoa muislamu na kumweka askofu Slaa.
pia wameeleza jinsi ambavyo MKAPA ndio chanzo cha matatizo yote ila wakristo wakiongozwa na Slaa walikaa kimya.
Wakristo wanaotoka makanisani wanaonekana kukerwa na ukweli huu na wanataka kuuvuruga muhadhara wetu. Takbir!
well said,
UISLAM UPO VERY CLEAR KWENYE TEACHINGS ZAKE NA KUSICHANGANYWE BAINA YA MUISLAM KASEMA vs UISLAM UNASEMA.
Tunapenda amani!Ila wakitaka kuzileta nadhani litakuwa jambo la mbolea wakipata kipondo kilichoenda shule!hii minjemba tatizo lao ni kukosa akili tu, me nadhani ni muda muafaka wetu tunaoitwa makafir kunyanyuka na kuwaonesha hao wapagani kuwa hawana dini na kuwa hakuna dini nje ya utatu mtakatifu!
unajua wafuasi wa cuf wote wameamia ccm ndio maana izo issue za udini zimeanza kurindima kipindi kile cha ben masheikh wote walikuwa wanaipigia chapuo cuf sasa baada ya kuona cuf inapoteza mwelekeo wakakimbilia kwa mkwele kwani tulizikamata message zao zikisema msimchaguo huyo ni adui wa islam mkishindwa kumpa lipumba basi mpeni mkwere
Tatizo kubwa linalowasibu masheikh na maimamu wetu ni njaa nina hakika wanatumiwa lakini wapaswa kufahamu kwamba matatizo yanayozungumzwa na chadema hayawahusu wakristu peke yao. Wanaposema waislamu wasiunge mkono maandamano ya chadema wanamaanisha waislamu hawaguswi na matatizo hayo? Ni waislamu wachache ambao hawajaenda shule kama hao ma sheikh ndio watawasikiliza. Nashangaa kwani vyombo vya dola haviko hapo kwenye muhadhara kuwachukulia hatua wachochezi hao? Maana naami huo ndio uchochezi mkubwa wa kuvuruga amani kuliko wanavyoyafikiria maandamano ya chadema.
Wale wavaa mabomu si waislamu bali ni watu wenye mpango wa kuupaka matope uislamu ktk jamiikavae bomu. Si ndio mnavyofundishwa huko?
Hali inaelekea kuchafuka hapa Singida mjini kutokana na muhadhara ambao umeanza tangu majira ya saa nne asubuhi na hutuba kutolewa na Mashekhe na Maimamu maarufu kutoka ZNZ na DSM.
Katika hutuba Mashekhe wameeleza ukweli wa Chadema na maaskofu pamoja na jinsi wanataka kuharibu amani ya nchi .
pia umuhimu wa waislamu kutoshiriki maandamano ya Chadema Kwani lengo lao ni kumwondoa muislamu na kumweka askofu Slaa.
pia wameeleza jinsi ambavyo MKAPA ndio chanzo cha matatizo yote ila wakristo wakiongozwa na Slaa walikaa kimya.
Wakristo wanaotoka makanisani wanaonekana kukerwa na ukweli huu na wanataka kuuvuruga muhadhara wetu. Takbir!
Hali inaelekea kuchafuka hapa Singida mjini kutokana na muhadhara ambao umeanza tangu majira ya saa nne asubuhi na hutuba kutolewa na Mashekhe na Maimamu maarufu kutoka ZNZ na DSM.
Katika hutuba Mashekhe wameeleza ukweli wa Chadema na maaskofu pamoja na jinsi wanataka kuharibu amani ya nchi .
pia umuhimu wa waislamu kutoshiriki maandamano ya Chadema Kwani lengo lao ni kumwondoa muislamu na kumweka askofu Slaa.
pia wameeleza jinsi ambavyo MKAPA ndio chanzo cha matatizo yote ila wakristo wakiongozwa na Slaa walikaa kimya.
Wakristo wanaotoka makanisani wanaonekana kukerwa na ukweli huu na wanataka kuuvuruga muhadhara wetu. Takbir!
hii minjemba tatizo lao ni kukosa akili tu, me nadhani ni muda muafaka wetu tunaoitwa makafir kunyanyuka na kuwaonesha hao wapagani kuwa hawana dini na kuwa hakuna dini nje ya utatu mtakatifu!