mashehe na mapadri wasiwe chanzo cha migogoro katika taifa letu..mbona freemason wenye nchi wao wamenyamaza hizi dini mbili kwani zinadhani ndio watawala wa taifa hili? washindane kwa maendeleo ya kuanzisha vyuo na biashara....pia kuwa na waumini watihifu hakuna mtu atayesifiwa kwa kuwa mdini zaidi ya kuonwa ni mjinga tu