Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,211
- 3,041
Wengi wenu ni halal yenu! Mnafika kazini saa 4 halafu dk 10 zikipita eti mnaenda kunywa chai..mkitoka huko kazi ya kwanza ni kusoma magazeti kabla hamjaanza mishemishe za lanchi. Toeni upuuzi wenu hapa, ala!