Hali ya serikali ni tete? Mpaka sasa mishahara kitendawili

mkuu mbona waongea kishabiki? Hao TCRA wana fedha nyingi kiasi gani hadi watulipe mishahara wafanyakazi wa umma?

Tena hata mimi nimeuliza ingawaje bado sijajibiwa...kwamba TCRA wanafanya biashara gani nchi hii hata wawe na uwezo wa kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali?!!!! Halafu uwongo mwingine unashindwa hata kutumia common sense....manake angalau mtu angesema mshahara uliopita ulilipwa na TPA au NSSF at least ingeleta sense. lakini TCRA?!!!
 
Hapo ndo tutapata adabu na Kufunguka Macho kuwa CCM imeshindwa! Maana kuna Mijitu migumu kuelewa sijui inasubiri CCM iandike barua kwa Umma kuwa Imeshindwa kuingoza Nchi!
 
mKUU, mwenzio nishaanza kusinzia hapa halafu nawe wanichekesha hadi umenifukizishia usingizi wangu!!! Mbwembwe za nini ktk utendaji?! Yaani kv tu wana-JF wanasema serikali imefilisika ndo basi tena lazima waoneshe kwamba bado wako fit?! Hivi tangu tulipoambiwa serikali imefilisika hapo leo!!! Alianza Zitto Kabwe, zaidi ya miezi 4 iliyopita,lakini tunaona wa2 wanadunda tu!!! Let's be reasonable, mapato ya serikali ya uhakika ni yale yatokanayo na makusanyo ya kodi kupitia TRA. Then, hebu tuangalie mapato ya TRA miezi 12 iliyopita halafu tuangalie na mapato kwa sasa (halafu tu-adjust inflation) na kisha tuone kuna deficit kiasi gani!!! Ukitumia simple logic kama hii pekee, wala mtu hawezi kunishawishi kusema serikali inafilisika unless niangalie suala hili kisiasa zaidi!

hebu acha kutumia akili za kondoo kufikiria mkuu, kama ina pesa si ndo tuzione sasa na mishahara ikilipwa kwa wakat?
 
Nakubaliana na wewe kwamba kufilisika ni mchakato!!! Hata hivyo, point yangu ni kwamba, mimi nimeshahusika sana na suala hili la mishahara wakati nipo benki fulani miaka michache iliyopita. Fluctuation ya tarehe za kulipa mishahara haijaanza leo, hivyo ikiwa fluctuation hiyo ndio dalili ya kufilisika basi ingekuwa tumeshafilisika zamani. Mkuu, asikuambie mtu; kufilisika sio kitu rahisi kiac hicho. Inawezekana, lakini ktk mazingira ya sasa bado sana na hakuna indicator ya kufilisika.....suala la kuchelewa mishahara wiki moja au mbili bado sio kigezo cha kufilisika.Kuna wakati fulani nilikuwa nahusika na posting ya mishahara ya TAZARA, ilifikia wakati una-post mshahara November kumbe ndo mshahara wa September huo!!!!! Je, sisi (kwa maana ya TZ gvt) tumekaribia huko?!
DazNaz nashukuru kwa uchambuzi yakinifu kwa kadri ya uelewa wako. Lakini bado nipo pale pale, kwa nini wacheleweshe mishahara wakati awali kwa watumishi wa serikali hasa majeshi hali hiyo ilikuwa nadra sana?
Kuhusu idara nyingine kama walimu na wafanyakazi wa halmashauri hao ni kama kawaida yao kucheleweshewa mishahara na wameshazoea yaani wamejitune hivyo.
Tuachane na hilo la mishahara tuje kwenye dalili za serikali iliyo na hali mbaya kiuchumi ni zipi sasa ili tuzifitishe kwenye serikali yetu tuone kama zinafiti au zinakaribia kufit.

1.0 Matumizi kuwa makubwa kuliko mapato yake ya ndani. Hii ina maana ni lazima serikali itafute misaada, mikopo ili kufinance matumizi yake ya kawaida ambayo ni recurrent expenditure. Ikitokea kutokukopesheka ndani na nje ya nchi basi serikali haina jinsi bali kubana matumizi ili iweze ku meet crucial exp. hasa mishahara ya watumishi wake.

2.0 Deni lake la kitaifa (ndani na nje) kuongezeka kwa kasi huku rate ya ulipaji ikiwa ndogo. Hii ina maana baada ya muda mfupi itashindwa kukopesheka na kufa kifo cha mende.

3.0 Baada ya njia nilizokutajia hapo juu kushindwa basi serikali huamua kuprint new money na kuingiza kwenye mzunguko kinyemela na hii direct huongeza mfumuko wa bei. Hili limeshafanyika na serikali ya JK lakini usinihoji nimepata wapi information hizo.

Mkuu ni mengi lakini nimalizie kama unaamini serikali haipo dhofu li hali kiuchumi, nijibu kwa nini imeshindwa kupeleka Warrant of Funds katika idara zake kwa karibu miezi miwili sasa, na hili nalo usiniulize nimepata wapi.

Ni hayo, lakini amini hali ni mbaya serikalini. Chukua hizo changanya na uelewa wako utaanza kupata majibu.
 
Hebu pitia hutuba ya rais kuhusu hali uchumi utagundua anazungumzia juu ya hali mbaya ya mfumuko bei, kudoroa kwa uchumi ni kutokana na mdodororo wa uchumi nchi wahusani na kuimarika kwa dola dhidi ya Tshs. Akatoa mifano ya nchi nyingi zilizo katika hali mbaya kiuchumi ikiwepo Uturuki ambayo serikali yake ilikuwa kama hii ya TZ kwa kuoverspend na kutegemea mikopo sasa nchi ina madeni makubwa yasiyolipika.
 
wanajf salaam!
hivi ni kweli kwamba hali ya serikali ni tete kiasi cha kuchelewesha mishahara ya wafanyakazi mpaka sasa?
nikiwa miongoni mwa wafanyakazi wa umma,nimepata salary slip yapata 4 days now ila hundi ya mshahara haijapelekwa bank,nimemuuliza mhusika w kwa hapa ofisini kwetu anasema serikali haijaleta pesa wao wametoa slip in advance tu.

mwezi uliopita kuna mjumbe wa jf alitoa mada hii mimi sikutilia maanani kwa kuwa mwezi ulopita sisi tulipata mishahara mapema ila sasa nadhani ndio zamu yetu....

duuu napata hofu na muelekeo wa serikali yetu.au ndo ule msemo kuwa 'nchi imeshauzwa?'

nawasilisha.

Acha kubabaisha wafanyakazi. Mwishowe utasababisha wazikimbie ofisi na kwenda kuchakura mitaani.
 
wanajf salaam!
hivi ni kweli kwamba hali ya serikali ni tete kiasi cha kuchelewesha mishahara ya wafanyakazi mpaka sasa?
'nchi imeshauzwa?'

nawasilisha.

Nani kanunua?

Ambaye atanibishia kuhusu hili la serikali kukopa TCRA na kufilisika naye atakuwa amefilisika kimawazo

wewe bisha kama hujafilisika mfukoni mwako

Mliimchagua wenyewe huyo JK last year, subirini mnae huyo hadi 2015. Mtavuna mlichopanda

ewaaaaa!! waambie

elewa kwamba " lakuvunda halina ubani". Furahia mshahara wako ulioupata nov 03

mwambie

Acheni yeye apande mapipa akale huko majuu .Hivi next visit yake ni lini na atakuwa Nchi gani na watu wangapi ?
Full bata mwanangu.Si mlimpa wenyewe?

Acha kubabaisha wafanyakazi. Mwishowe utasababisha wazikimbie ofisi na kwenda kuchakura mitaani.

laja hilo.
 
Acha kubabaisha wafanyakazi. Mwishowe utasababisha wazikimbie ofisi na kwenda kuchakura mitaani.
Sasa kawababaisha nini hapo wafanyakazi? Tatizo la kusoma post moja tu ya mtoa mada na kukurupuka kujibu, hebu pitia atleast post kadhaa za wengine utapata mwelekeo ukoje.
 
hebu acha kutumia akili za kondoo kufikiria mkuu, kama ina pesa si ndo tuzione sasa na mishahara ikilipwa kwa wakat?

Jenga hoja unishawishi kwamba nchi imefilisika na sio kigezo cha kuchelewa mishahara. wewe una uhakika kwamba wafanyakazi wote hawajalipwa?! Hata kama wapo amabao hawajalipwa, lakini vile vile wapo ambao tayari wameshalipwa!!
 
wanajf salaam!
hivi ni kweli kwamba hali ya serikali ni tete kiasi cha kuchelewesha mishahara ya wafanyakazi mpaka sasa?
nikiwa miongoni mwa wafanyakazi wa umma,nimepata salary slip yapata 4 days now ila hundi ya mshahara haijapelekwa bank,nimemuuliza mhusika w kwa hapa ofisini kwetu anasema serikali haijaleta pesa wao wametoa slip in advance tu.

mwezi uliopita kuna mjumbe wa jf alitoa mada hii mimi sikutilia maanani kwa kuwa mwezi ulopita sisi tulipata mishahara mapema ila sasa nadhani ndio zamu yetu....

duuu napata hofu na muelekeo wa serikali yetu.au ndo ule msemo kuwa 'nchi imeshauzwa?'

nawasilisha.

uko idara gani?
 
uko idara gani?

Jenga hoja mambo ya idara hayakusaidii, mf akikuambia nipo TISS, TPDF, TPF, TPS, Immagration, Wizara ya Afya, Elimu n.k itakusaidia nini? Hoja ya msingi ni kutopata mishahara kwa watumishi wengi wa sekta ya umma na hali mbaya ya kiuchumi serikalini. Umeelewa, mwaga data na siyo ubabaishaji ishaji tu majukwaani!!!!
 
Fanyeni kazi acheni kupiga umbeya mwisho wa mwezi bado tayari mshaanza kulalama hela ya mwisho wa mwezi. Je mngelikuwa mnafanya kazi katika kampuni binafsi ambapo mshahara hutoka tarehe 30 si mngelia nyie vp!!!!

Aise sikujua kama JF Senior Expert Member kama wewe ungekuwa na mawazo ya kipuuzi kama haya. Sisi tunadai mshahara sasa hivi kwa sababu serikali ilishazoea kutoa mshahara tarehe 20 kila mwezi. Sasa hesabu kuanzia tarehe 20 last month hadi leo, Je siku thelathini hazijafika. Acha kutumia masaburi kukomenti humu jamvini.
 
DazNaz nashukuru kwa uchambuzi yakinifu kwa kadri ya uelewa wako. Lakini bado nipo pale pale, kwa nini wacheleweshe mishahara wakati awali kwa watumishi wa serikali hasa majeshi hali hiyo ilikuwa nadra sana?
Kuhusu idara nyingine kama walimu na wafanyakazi wa halmashauri hao ni kama kawaida yao kucheleweshewa mishahara na wameshazoea yaani wamejitune hivyo.
Tuachane na hilo la mishahara tuje kwenye dalili za serikali iliyo na hali mbaya kiuchumi ni zipi sasa ili tuzifitishe kwenye serikali yetu tuone kama zinafiti au zinakaribia kufit.

1.0 Matumizi kuwa makubwa kuliko mapato yake ya ndani. Hii ina maana ni lazima serikali itafute misaada, mikopo ili kufinance matumizi yake ya kawaida ambayo ni recurrent expenditure. Ikitokea kutokukopesheka ndani na nje ya nchi basi serikali haina jinsi bali kubana matumizi ili iweze ku meet crucial exp. hasa mishahara ya watumishi wake.

2.0 Deni lake la kitaifa (ndani na nje) kuongezeka kwa kasi huku rate ya ulipaji ikiwa ndogo. Hii ina maana baada ya muda mfupi itashindwa kukopesheka na kufa kifo cha mende.

3.0 Baada ya njia nilizokutajia hapo juu kushindwa basi serikali huamua kuprint new money na kuingiza kwenye mzunguko kinyemela na hii direct huongeza mfumuko wa bei. Hili limeshafanyika na serikali ya JK lakini usinihoji nimepata wapi information hizo.

Mkuu ni mengi lakini nimalizie kama unaamini serikali haipo dhofu li hali kiuchumi, nijibu kwa nini imeshindwa kupeleka Warrant of Funds katika idara zake kwa karibu miezi miwili sasa, na hili nalo usiniulize nimepata wapi.

Ni hayo, lakini amini hali ni mbaya serikalini. Chukua hizo changanya na uelewa wako utaanza kupata majibu.

mie nakubaliana na serikali kufiliska. siyo kwa miezi miwili kama unavyosema, bali tangu kuingiza sera za ubinafishaji na kukaribisha wezi nchi. kitendo cha wezi kupata faida mara 100 zaidi kuliko mtaji uliotumika, ni kigezo cha serikali kufilisika. tunaishi kwa kutegea kodi kidogo sana ambao zinapatika kwa kuwakamua watanzania wakati wageni wakisamehewa.

Mtanzania anayekamuliwa kodi, ndo huyo mpaka apate mshahara kutoka kwa serikali. serikali haina mishahara, kila kitu kinasimama. biashara haziendi vizuri na hivyo kuleta mgogoro katika mzunguko wa pesa. Hiii ni ishara tosha ya kuishiwa, kufilisika
 
Jenga hoja mambo ya idara hayakusaidii, mf akikuambia nipo TISS, TPDF, TPF, TPS, Immagration, Wizara ya Afya, Elimu n.k itakusaidia nini? Hoja ya msingi ni kutopata mishahara kwa watumishi wengi wa sekta ya umma na hali mbaya ya kiuchumi serikalini. Umeelewa, mwaga data na siyo ubabaishaji ishaji tu majukwaani!!!!

Itanisaidia sana kumjibu. Serikali inapata nguvu ya kuuza rasilimali kinyemeala kwa kuwa niliowabold wanashiriki kwa kiasi kikubwa ndo jeuri ya serikali. Kuna dogo alishawahi kuniambia kuwa, huwa kuna magari ya serikali yanapelekwa kwenye mining site, wanapewa tofali za dhahabu, cha kushangaza, kwanza gari hizo zinaondolewa namba za usajili halafu pili, zinakuwa na escort ya polisi.

kuwajibu hawa wa majeshini, nawaambia ndiyo serikali mnayoilinda, kwani kama mngekuwa pamoja na wananchi tungehakikisha tunawaondosha na kuanza kusimamia rasilimali zetu kwa manufaa ya watanzania.

Majeshi wengui ni wajinga, wapuuzi, washenzi, kwani wanawalinda mafisadi wakiwa na bunduki, wanapelekwa mahala kuiba na bunduki lakini hawachukui hatua yoyote tena bila wao kunufaika kwa tija kwani wananishiwa kupewa 10,000-50,000, basi askari anaona kaukata. Hivyo, wanavuna wanachokipalilia.

Mwisho nitawashauri washituke, walinde wananchi wanaodai uhuru wao siyo kuwalinda mafisadi wanaotuingiza mkenge kila uchwao

 
mie nakubaliana na serikali kufiliska. siyo kwa miezi miwili kama unavyosema, bali tangu kuingiza sera za ubinafishaji na kukaribisha wezi nchi. kitendo cha wezi kupata faida mara 100 zaidi kuliko mtaji uliotumika, ni kigezo cha serikali kufilisika. tunaishi kwa kutegea kodi kidogo sana ambao zinapatika kwa kuwakamua watanzania wakati wageni wakisamehewa.

Mtanzania anayekamuliwa kodi, ndo huyo mpaka apate mshahara kutoka kwa serikali. serikali haina mishahara, kila kitu kinasimama. biashara haziendi vizuri na hivyo kuleta mgogoro katika mzunguko wa pesa. Hiii ni ishara tosha ya kuishiwa, kufilisika
Hata mimi sijasema kwa miezi miwili lakini dalili zimeanza kujionyesha hasa miezi hii miwili. Hivyo ina maana serikali ilianza zamani sana kuyumba kiuchumi lakini hatuwahi kunotes dalili mapema.
Ok, nashukuru mkuu kwa kuongeza mawe ya ukweli kabisa katika tetesi hizi tunazozijadili.
Ukweli ni kwamba hali itaendelea kuwa mbaya kwa sababu mali zetu ambazo zingetusaidia kujitegemea kiuchumi zimeshamilikishwa kwa wawekezaji ambao wameingia mikataba ya kijinga na kuondoka na mali zote!!!

Na hili ndiyo kilio cha upinzani kilichowapa umaarufu kwa wananchi.
Mwisho, ubarikiwe kwa hoja iliyoenda shule.
 
Back
Top Bottom