Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,982
- 3,640
Niko na wadau mitaa ya shikamoo pub Sinza,viti viko wazi na watu wa kuhesabu.Ukizingatia tarehe "zimeandama" ila mahudhurio ni hafifu as compared to enzi zilee..kweli hali ni tete at micro level.
Namba inasomeka!
Namba inasomeka!